
KMC KAMILI KUIVAA TANZANIA PRISONS
TANZANIA One,kipa bora wa muda wote Juma Kaseja kuhusu mchezo wa kesho Januari 16 dhidi ya Tanzania Prisons ameweka wazi kwamba wanahitaji pointi tatu. Kaseja ni nahodha wa KMC kesho anatarajia kuwaongoza wachezaji wenzake katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Nelson Mandela. Kwenye msimamo KMC ipo nafasi ya 13 na pointi 11…