
KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA DHIDI YA COASTAL UNION
LEO Januari 16 Yanga ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya Coastal Union na hiki hapa ni kikosi ambacho kinatarajiwa kuanza:- Mshery Djuma Yassin Dickson Job Mwamnyeto Bangala Aucho Jesus Ntibanzokiza Feisal Mayele Akiba Johora Paul Bryson Mauya Kaseke Ambundo Farid Mussa Salum Makambo