GEITA GOLD: MAKOSA YETU TUMEFANYIA KAZI
KOCHA Msaidizi wa Geita Gold, Mathias Wandiba ameweka wazi kuwa makosa ambayo waliyafanya kwenye mchezo wa kwanza wameyafanyia kazi leo watayarekebisha. Jana Septemba 16, 2022 Geita Gold ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Azam Complex kujiweka sawa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Hilal Al Sahil. Kwenye mchezo wa kwanza wakiwa…