
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
PETER Banda kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa ni jambo kubwa kwake kuweza kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Machi. Banda ni Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player of the Month) na amepewa zawadi yake baada ya kuwashinda Shomari Kapombe na Pape Sakho ambao aliingia nao fainali. Banda amepewa zawadi ya…
SHABIKI wa Simba,Issa Azam amesema kuwa ushindi walioupata ni furaha kwao kwa kuwa walikuwa wanahesabu mabao tu mbele ya USGN huku wakirejesha shukrani kwa benchi la ufundi,wachezaji ambao waliweza kupata ushindi wa mabao 4-0. Ameongeza kwa kusema Watanzania wote wanastahili shukrani kwa jambo ambalo walifanya usiku wa kuamkia leo Aprili 4,2022.
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ni pongezi kubwa wanastahili wachezaji,mashabiki pamoja na uongozi kwa kuweza kushuhudia timu hiyo ikipata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya USGN na kuweza kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho usiku wa kuamkia leo Aprili 4,2022. Pia Pablo amesema kuwa wapinzani wao walikuwa imara kwa kuwa…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa mchezo wao ujao dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wanahitaji pointi tatu muhimu. Baada ya kucheza mechi 18 ni pointi 48 wamekusanya wakiwa nafasi ya kwanza wanatarajia kumenyana na Azam FC Jumatano ya Aprili 6,2022. Kwenye msimamo Azam FC ipo nafasi ya tatu na pointi 28…
KIUNGO wa kimataifa wa zamani wa Simba raia wa Ghana, James Kotei, ameweka wazi kuwa kama ataambiwa achague viungo wa kucheza nao kutoka Yanga, basi atawataja Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ na sio pacha ya Khalid Aucho na Yannick Bangala. Sure Boy aliyejiunga na Yanga kwenye dirisha dogo la usajili msimu…
GARY Neville, mchambuzi wa masuala ya michezo anaamini kwamba mbio za timu yake hiyo ya zamani kutinga top 4 ni ngumu baada ya kutoshana nguvu na Leicester City,Uwanja wa Old Trafford. Bao la Kelechi Iheanacho dk 63 kwa Leicester City kisha United waliweka usawa kupitia kwa Fred dk ya 66. Kwenye msimamo United ipo nafasi…
UKIIWEKA kando Simba kutoka Tanzania pamoja na RS Berkane kutoka Morocco ambazo hizi zipo kundi D pia zipo nyingine ambazo ziliweza kutinga hatua ya roo fainali. Timu hizo ni pamoja na Al Ahly Tripoli ya Libya na Pyramids ya Misri hizi zilikuwa kundi A. Orlando Pirates ya Afrika Kusini na A Ittihad ya Libya kutoka…
NYOTA wa Simba wanaonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi mbele ya USGN rekodi zinaonyesha kwamba walipiga mashuti 20 langoni kwa wapinzani wao. Haikuwa kazi rahisi kwa Simba kuweza kufanikisha lengo lao kwa kuwa kipindi cha kwanza safu ya ushambuliaji ilikosa umakini ndani ya dakika 45 licha…
TOTTENHAM Hotspur imeishushia kichapo cha mabao 5-1 Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu England. Mchezo huo umechezwa usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Tottenham Hotspur mbele ya mashabiki 57,553. Mabao ya Ben Davies dk 43,Matt Doherty dk 48,Heung-min Son dk 54,Emerson Leite de Souza Junior dk 63,Steven Bergwijn dk 83 ambaye alianzia benchi…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 4-0 USGN katika mchezo wa makundi. Watupiaji kwa Simba ni Sadio Kanoute dk 63,Chris Mugalu dk 68 na 78 na kipa wa USGN alijifunga dk 84. Simba ipo nafasi ya pili na pointi 10 kundi D sawa na RS Berkane. Timu mbili zinapita zote zikiwa zimekusanya pointi 10…
DAKIKA 45 Uwanja wa Mkapa ubao Simba 0-0 USGN hatua ya makundi. Simba wamekwama kutupia kupitia kwa Pape Sakho aliyekosa nafasi mbili, Sadio Kanoute nafasi tatu za kufunga. Pia Kanoute kwa kucheza faulo ameonyeshwa kadi ya njano na mwingine kwa Simba ni Joash Onyango ambaye hakuwa na chaguo alimchezea faulo Adebayo Victorean. Simba wamepiga kona…
HITIMANA Thiery,Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa watajipaga kwa ajili ya mechi zijazo baada ya leo kupata sare. Ikiwa Uwanja wa Uhuru, KMC ilitoshana nguvu ya bila kufungana na Namungo FC leo Aprili 3 2022. Thiery ambaye alikuwa pia ni kocha wa Namungo FC amesema kuwa hakuwa na chaguo kwa kuwa walipata nafasi lakini wakashindwa…
HIKI hapa rasmi kikosi cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya USGN Uwanja wa Mkapa mchezo wa Kombe la Shirikisho, Uwanja wa Mkapa:- Aishi Manula Shomari Kapombe Zimbwe Jr Joash Onyango Henock Inonga, Jonas Mkude Pape Sakho Sadio Kanoute Chris Mugalu Rally Bwalya Bernard Morrison Akiba Beno Israel Kennedy Nyoni Lwanga Mzamiru Kagere Kiu Banda Saa…
NAPE Nnauye,Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema kuwa ushindi wa leo kwa Simba ni muhimu kwa nchi. Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu muhimu mbele ya USGN mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni hatua ya makundi. Nnauye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa leo unaotarajiwa kuchezwa saa 4:00 usiku. Kiongozi…
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Mtibwa Sugar v Kagera umekamilika kwa timu zote mbili kutoshana nguvu kwa kugawana pointi mojamoja. Ubao wa Uwanja wa Manungu umesoma Mtibwa Sugar 1-1 Kagera Sugar hivyo hakuna mbabe ambaye amepatikana kwa vigogo hawa wawili. Ni Mtibwa Sugar walianza kutupia dk 37 kupitia kwa George Chota ambaye alitumia…