PABLO: UTAKUWA MCHEZO MGUMU, LAKINI TUPO TAYARI

“Tunategemea mchezo mgumu lakini tuko tayari kwa mchezo wa kesho. Tunajua ni mchezo muhimu na tutapambana ili tupate alama tatu,”- Kocha Mkuu wa Simba SC, Pablo akizungumzia maandalizi ya mchezo wa kesho Ijumaa kati ya Simba SC dhidi ya Ruvu Shooting. “Tunawaheshimu wapinzani wetu lakini tumejipanga kushinda. Naamini mtaona mabadiliko.”- Gadiel Michael.

Read More

CHEKA, ALKASASU KUPASUANA USIKU WA MISHINDO

MABONDIA wa ngumi za kulipwa nchini,  Muksini Swalehe ‘Alkasusu’ na Cosmas Cheka wanatarajia kupanda ulingoni  Desemba 3, mwaka huu katika pambano la usiku wa mishindo ambalo limepangwa kupigwa kwenye Uwanja wa Kinesi jijini Dar.   Pambano hilo limetambulishwa leo kwenye mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika  kwenye Hoteli ya Atriums ambalo litashirikisha mabondia wengi, limeandaliwa…

Read More

MAKIPA PONGEZI MNASTAHILI,KAZI IINDELEE

KWENYE suala la kusaka ushindi uwanjani kuna wachezaji 11 ambao huwa wanapambana kwa ajili ya timu na ipo wazi ushindi unapatikana kwa ushirikiano wa kila mchezaji. Kwa habari ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kushindwa kupenya hatua ya mtoano wa Kombe la Dunia hiyo imeisha hakuna tutakachoweza kubadili zaidi ya maumivu. Tunajua kwamba…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEPUNGUZA UZITO

SIMULIZI ya mwanamke aliyeweza kupunguza tatizo la uzito pamoja na unene Watu wengi ama kwa hakika haswa wanawake hupenda miili ambayo sio minene kupita matarajio yao. Wengi hupenda mwili wa kuvutia haswa  kila mara. Kwa jina ninaitwa Rebecca. Nilikuwa nashida ya kunenepa na kila mara watu wengi walinipa majina ya ajabu kutokana  na mwili wangu…

Read More

MZEE WA KUCHETUA BM APIGWA ‘STOP’SIMBA

MZEE wa kuchetua ndani ya kikosi cha Simba, Bernard Morrison amepigwa ‘stop’ kucheza faulo za akiwa kwenye mazoezi kwa wachezaji wengine ili kuepusha maumivu yasiyokuwa na lazima. Novemba 16 kwenye mazoezi ya Simba yaliyofanyika Uwanja wa Boko Veteran, Morrison alikuwa ni miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa kwenye mazoezi hayo chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco,…

Read More

FOUNTAIN GATE:MWENDO WA CHAMPIONSHIP ACHA TU

KIUNGO wa Fountain Gate,Daud Rashid ameweka wazi kuwa moto wa Championship sio wa kitoto kwa kuwa kila timu inapambana kusaka pointi tatu uwanjani. Kwenye msimamo timu hiyo ipo nafasi ya 6 baada ya kucheza mechi 7 kibindoni ina pointi 12 huku vinara wakiwa ni DTB FC wenye pointi 17. Rashid amesema kuwa hakuna timu ya…

Read More

AUCHO NA DJUMA KUIWAHI NAMUNGO

KHALID Aucho kiungo msumbufu na mzee wa kazi ndani ya Yanga anatarajiwa kuungana na kikosi leo kwa ajili ya kuelekea Lindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo. Pia Djuma Shaban naye ambaye ni beki wa kupanda na shaka naye atajiunga na timu hiyo kuwafuata Namungo. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga,…

Read More

PABLO:TUNAKWENDA KUSAKA POINTI TATU ZA RUVU SHOOTING

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanakwenda Mwanza wakiwa wamejiandaa kushinda pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Leo kikosi cha Simba kimekwea pipa na kuibuka Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…

Read More

GEITA GOLD KITUO KINACHOFUATA KAITABA

BAADA ya Klabu ya Geita Gold kupoteza katika mchezo wake uliopita kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Azam FC, Novemba 20 wanakibarua kingine cha kusaka pointi tatu. Kwenye mchezo huo Khoeminy Aboubakhari kipa wa Geita Gold aliweza kuokoa penalti ya matajiri wa Dar pale Azam Complex sasa kituo kinachofuata ni Kaitaba, Bukoba. Geita Gold haijawa…

Read More

NCHI 10 ZILIZOFUZU MTOANO KOMBE LA DUNIA AFRIKA

NCHI 10 za Afrika zimefuzu mechi za mtoano kuelekea katika Mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika Qatar mwakani kuanzia Novemba 21 mpaka Desemba 18, 2022, yakishirikisha mataifa 32 . Qatar, itashiriki mashindano haya kwa mara ya kwanza kabisa, na imefuzu kama mwenyeji, ikitarajiwa kuwa moja ya timu ambayo inaweza kuwashangaza wengi kutokana na suala la…

Read More

YANGA WAANDAA JAMBO KUBWA KWENYE USAJILI

KATIKA kuelekea usajili wa dirisha la Januari, mwaka huu wadhamini wa Yanga, Kampuni ya GSM, wamewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kufanya usajili mkubwa na wa kishindo.   Yanga imeonekana kudhamiria msimu huu kutwaa mataji yote wanayoshindania ikiwemo Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), ambayo yote yanatetewa na Simba.   Timu…

Read More

WACHEZAJI WA AZAM FC WAREJEA KAMBINI TAYARI KWA KAZI

WACHEZAJI wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina  ambao walikuwa kwenye timu ya taifa ya Tanzania,Taifa Stars tayari wamejiunga na wengine kambini.Ilikuwa ni jana Novemba 16, siku ya Jumanne walianza mazoezi kuivutia kasi KMC kwenye mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Nyota hao ni pamoja na Idd Seleman, Edward Manyama na Lusajo…

Read More

SIMBA KUIBUKIA MWANZA LEO KUWAFUATA RUVU SHOOTING

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,  Pablo Franco leo Novemba 17 kinatarajiwa kukwea pupa kuelekea Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Ijumaa ya Novemba 19 saa 10:00 jioni Uwanja wa CCM Kirumba. Tayari Franco raia wa Hispania aliyetambulishwa…

Read More

YANGA KUWAFUATA NAMUNGO LEO

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo Jumatano, Novemba 17 wanatarajia kusepa Dar kuelekea Lindi kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Vinara hao wa ligi wakiwa nafasi ya kwanza na pointi 15 Novemba 20 watatatupa kete yao ya sita kwa kusaka ushindi mbele ya Namungo itakuwa Uwanja wa…

Read More