DAKIKA 45 SIMBA WATAWALA KWA MKAPA NA KUTUPIA MBILI
UWANJA wa Mkapa leo Novemba 28 katika dakika 45 za kwanza Simba wanaongoza kwa mabao 2-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia. Umakini hafifu wa Simba unawafanya waende chumba cha kubadilishia nguo wakiongoza kwa mabao mawili jambo ambalo linawapa ugumu kuweza kulinda ushindi huo ambao una ushindani mkubwa. Mabao ya Simba yamefungwa na Bernard Morrison…