PABLO AWEKA REKODI KIMATAIFA DAKIKA 180
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba ameweka rekodi yake kwenye mechi mbili mfululizo kuweza kufanya mabadiliko ambayo yamekuwa yakimpa matokeo ndani ya dakika 180. Katika Kombe la Shirkisho mbali na kuwa Simba ni namba moja na pointi zake nne,pointi hizo zilipatikana kipindi cha pili mara baada ya kufanya mabadiliko kwa wachezaji ambao walikuwa benchi kuusoma…