


HUYU HAPA MVP LIGI KUU BARA 2021/22
KATIKA usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22 uliweza kukamilika kwa kila mmoja kuweza kujua kile ambacho amekivuna. Kwa upande wa tuzo ya mchezaji bora ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa umakini ilikwenda kwa kiungo wa Yanga, Yannick Bangala. Tuzo hiyo ilitolewa na mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Waziri wa Sanaa, Utamaduni na…

VIDEO:INJINIA AFAFANUA AHADI YA UWANJA ITAKAVYOTIMIZWA
INJINIA Hersi Said mgombea wa nafasi ya Urais ndani ya Yanga ameweka wazi kwamba Wanachama watakuwa na mchango mkubwa ndani ya Yanga kutokana na mchango ambao watakuwa wanatoa. Pia amezungumzia kuhusu kufanya vizuri kwa Yanga Princess pamoja na maendeleo yajayo. Kuhusu ahadi ya uwanja pamoja na mafanikio ya kutwaa makombe ambayo aliahidi na akafanikiwa hayo…

MCHEZAJI BORA LIGI KUU BARA,KOMBE LA SHIRIKISHO
USIKU wa tuzo usiku wa kuamkia Julai 8/2022 umeweza kukamilika kutoka Ukumbi a Hotel ya Rotana ambapo kila aliyeweza kuchaguliwa kasepa na tuzo yake. Miongoni mwa tuzo ambazo zilikuwa zinafuatiliwa kwa ukaribu ni pamoja na ile ya mchezaji bora pamoja na bao bora ambalo limeweza kutambuliwa ndani ya ligi msimu huu. Tuzo hizo zimekwenda kwa…

HIKI HAPA RASMI KIKOSI BORA 2021/22 LIGI KUU BARA
USIKU wa mastaa ambapo tuzo zinatolewa katika Hotel ya Johari Rotana Dar na kikosi bora kwa msimu wa 2021/22 kipo namna hii:- Djigui Diarra wa Yanga Djuma Shaban Yanga Mohamed Hussein Simba Henock Inonga Simba Bakari Nondo Mwamnyeto Yanga Yannick Bangala Yanga Abdul Suleiman Sopu Coastal Union Feisal Salum Yanga Fiston Mayele Yanga George Mpole…

SERIKALI KUBORESHA VIWANJA,MPOLE APEWA TUZO YAKE
LEO Julai 7 siku ya Sabasaba ikiwa ni usiku wa Tuzo kwa msimu wa 2021/22 Serikali imetaja viwanja ambavyo vitafanyiwa maboresho. Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mohamed Mchengerwa ametaja viwanja sita vitakavyokarabatiwa na Serikali kwa kuwekewa nyasi za asili. Viwanja hivyo ni pamoja na CCM Kirumba Mwanza, Sheikh Amri Abeid Arusha, Sokoine Mbeya, Mkwakwani…

AZAM FC YAACHANA NA BEKI WAO WA KAZI
LEO Julai 7,2022 ikiwa ni siku ya sabasaba,matajiri wa Dar wameweka wazi kuwa wanaachana na mchezaji wao Yvan Mbala ambaye ni beki. Anakuwa ni nyota wa tatu kupewa mkono wa asante baada ya Mathias Kigonya ambaye na kipa pamoja na Frank Domayo ambao wote hawatakuwa kwenye kikosi cha Azam FC msimu wa 2022/23. Kupitia ukurasa…

KIKOSI BORA CHA LIGI KUU BARA 2021/22
ULE ubora wa wachezaji umeonekana kwa msimu wa 2021/22 kila aliyepewa nafasi alifanya kweli na mwisho wa siku kila mmoja kavuna kile ambacho amekipata. Wakati leo Julai 7 Bodi ya Ligi Tanzania wakitarajia kutoa tuzo kwa wachezaji waliofanya vizuri pamoja na kutangaza kikosi bora,hapa tunakuletea kikosi bora kwa msimu wa 2021/22. Mfumo utakaotumika ni ule…

MWAMBA WA LUSAKA AANZA KUPIGA MATIZI
MWAMBA wa Lusaka kiungo mshamuliaji wa Simba,Clatous Chama ameanza kufanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa 2022/23. Chama amerejea kwa mara nyingine ndani ya Simba baada ya kuwa ndani ya RS Berkane lakini ameshindwa kuonyesha makeke yake kutokana na kile kilichoelezwa kuwa alipata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Yanga. Taarifa iliyotolewa na…

KIUNGO NUNES APIGIWA HESABU CHELSEA
KLABU ya Chelsea inajiandaa kutuma ofa ya kuinasa saini ya kinda wa Ureno anayekipiga katika Klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno Matheus Nunes mwenye umri wa miaka 23 anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji. Inakadiriwa Chelsea wanajiandaa kutuma ofa ya paundi milioni 45 ikiwa na nyongeza ya paundi milioni 5 ambayo itatokana na vipengele vya mkataba….

VIDEO:MPANGO WA UJENZI WA UWANJA YANGA UMECHORWA HIVI
INJINIA Hersi Said mgombea nafasi ya Urasi ndani ya Yanga amebainisha namna mpango wa ujenzi wa uwanja ulivyo pamoja na mgombea wa nafasi ya makamu wa Rais,Arafat Haji naye akibainisha uwezo wake pamoja na muda ambao Yanga iliwahi kuvaa jezi aina 9

REKODI ZA WANAOWANIA TUZO YA KIUNGO BORA BONGO
SUALA la muda tu leo kwa wachezaji na watu wa mpira kuweza kupokea tuzo kwa msimu wa 2021/22 kupitia kwa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Ni Julai 7 zinatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Rotana Hotel, hapa Spoti Xtra inakuletea walichokifanya mastaa wanaowania tuzo ya kiungo bora kwa msimu wa 2021/22 ambapo wote wanatoka kikosi…

SAUTI:KIKOSI KIPYA CHA YANGA CHEKI KILIVYO
BAADA ya kukamilisha usajili wa Bernard Morrison huku ikitajwa kuwa tayari kiungo Aziz KI ni mali ya timu hiyo kikosi cha Yanga kinatarajiwa kuwa na nyota wakali.

HIZI HAPA REKODI ZA MAKIPA WANAOWANIA TUZO BONGO
LEO ni leo itakuwa kwa kuwa ni siku ya ugawaji wa tuzo kwa wanamichezo baada ya kukamilisha msimu wa 2021/22 ambapo mabingwa ni Yanga. Julai 7 zinatarajiwa kufanyika tuzo hizo kwenye Ukumbi wa Rotana Hotel, huku moja ya kipengele ambacho kinatazwa kwa ukaribu ni upande wa mlinda mlango. Hapa tunakuletea rekodi za mastaa hao watatu waliopenya…

MSELELEKO WALIOUPATA AZAM FC KUMNASA MR HAT TRICK HUU HAPA
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa mseleleko ambao waliopata kuinasa saini ya kiungo kutoka Coastal Union Abdul Hamis Suleiman,’Sopu’ umetokana na kuwa na marafiki ndani ya Azam FC ambao ni wachezaji pia. Sopu alikuwa kwenye hesabu za Coastal Union wenyewe ambao walikuwa kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba,Simba na Yanga nao wanatajwa kuwa walikuwa wanahitaji…

MORRISON KUMUONDOA MMOJA KIKOSINI YANGA
IMEELEZWA kuwa usajili wa Bernard Morrison umefawafanya Yanga, kuingia makubaliano ya kuachana rasmi na winga wa kulia raia wa DR Congo, Jesus Moloko. Moloko aliungana na Yanga Agosti 13, 2021, akitokea katika Klabu ya As Vita ya kwao DR Congo na kusaini mkataba wa miaka miwili. Chanzo cha uhakika kutoka Yanga kimeeleza kuwa, pamoja na ubora…

SUMA MWAITENDA:NICHAGUENI MIMI NITAFANYA KWA VITENDO
MGOMBEA wa nafasi ya Makamu wa Rais ndani ya Yanga,Suma Mwaitenda ameweka wazi kuwa akipata nafasi ya kuingoza timu hiyo atashirikiana na rais ambaye atachaguliwa. Julai 9, Yanga inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi ambapo ni kwa upande wa Rais mgombea akiwa ni Injinia Hersi Said na kwa upande wa makamu wa Rais wapo wawili ikiwa…