
VIDEO:TAZAMA MAZOEZI YA WAARABU WA YANGA,MIJITU KWELI
WAPINZANI wa Yanga, Club Africain kesho wanatarajia kumenyana na Yanga mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa, haya hapa mazoezi yao ya mwisho namna hii
WAPINZANI wa Yanga, Club Africain kesho wanatarajia kumenyana na Yanga mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa, haya hapa mazoezi yao ya mwisho namna hii
SALUM Mayanga, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa ubora wa Simba umejificha kwenye safu ya viungo jambo linalowafanya wacheze kwa kujiamini kila wanapokuwa na mpira. Juzi, Simba iliibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa huku nyota wawili wa Mtibwa Sugar wakionyeshwa kadi nyekundu. Mayanga amesema…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema waliomba kupewa muda wa kufanya maandalizi kwa ajili ya kuwakabili wapinzani wao Club Africain lakini hawakujibiwa hivyo kwa sasa wanajaandaa kwa muda ambao upo na mechi zikiwa zimepangana
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wote wapo tayari kwa mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Club Africain. Ni Uwanja wa Mkapa ukiwa ni mchezo wa mtoano wa kwanza na ule wa pili tachezwa nchini Tunisia. Kocha amesema:”Wachezaji wako tayari na wameahidi kupambana, tunaomba sapoti kwa mashabiki wetu kujitokeza…
YANGA wamepewa mbinu sita ili wafanikiwe kutusua kwenye Kombe la Shirikisho Afrika namna hii
HASSAN Dilunga kiungo wa Simba ameweka wazi kuwa kwa sasa yupo chini ya uangalizi wa madokta ambao wao wanajua huku akiendelea na program ya mazoezi kama kawaida na kubainisha kuwa kwa sasa anapitia kwenye kipindi cha ibada
MCHAMBUZI wa masuala ya michezo Bongo, Ahmed Abdallah ameweka wazi kuwa kuna wakati maamuzi yanapaswa kufanyika huku suala la Usimba na Yanga likiwekwa pembeni
MGUU uleule uliowapa tabu Simba, Uwanja wa Mkapa ndani ya 18 umegeuza kibao kwa mara nyingine mbele ya Ihefu. Mtupiaji yuleyule aliyempa tabu Air Manula sasa tabu iligeukia upande wa Ihefu kwa kipa Fikirini. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara jana dhidi ya Ihefu, nyota Dube alifunga bao kwa mguu wake wa kulia likiwa ni…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa mpango kazi namba moja ni kuanza kupata ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Club Africain ya Tunisia. Kesho Novemba 2, Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa mtoano kuwania kufuzu hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Mchezo huo utachezwa Uwanja…
KIUNGO wa klabu ya Chelsea Ngolo Kante ameripotiwa huenda akaondoka klabuni hapo bure kabisa mwishoni mwa msimu ujao kutokana na kumalizika kwa mkataba wake na kutokuwepo kwa maendeleo yoyote kwenye mazungumzo ya mkataba mpya. Kwa mujibu wa mwandishi maarufu wa Habari za michezo Fabrizio Romano amebainisha kuwa upo uwezekano mkubwa wa kiungo huyo raia wa Ufaransa…
VIUNGO wawili kazi kwelikweli wakiwa wanapambana kutimiza majukumu yao kwa kasi kubwa
MZARAMO wa Simba ameweka wazi kuwa mpira ambao wameupiga Simba ni mkubwa wale ambao wanadai wamebebwa hilo sio kweli kwa kuwa ulipigwa mpira mkubwa wakati wakiibuka na ushindi wa mabao 5-0 Mtiwa Sugar
Baada ya mechi 5 za mwanzo kuchezwa, sasa hii ni mechi ya 6 ya kuamua ni nani atafuzu hatua ya 16 bora, nani ataenda Europa nani kufungashiwa vilago UCL, wakati huo Man City, Chelsea, Napoli, Madrid, Inter Milan na PSG, Liverpool, Dortmund, Porto na Club Brugge, Bayern, Benfica wapo sehemu salama, wakati Kundi D yeyote…
KELELE za mashabiki uwanjani zina raha yake lakini hazipaswi kuwa kigezo cha kuwapa presha waamuzi kufanya maamuzi ambayo ni maumivu kwa wengine. Kumekuwa na mwendo ambao haufurahishi kwa waamuzi kufanya maamuzi ambayo wanayajua wao wenyewe huku wakipewa shinikizo na mashabiki. Hakuna suala hilo kwenye kazi hasa ambayo inasimamia taaluma ndani ya dakika 90 kikubwa ni…
AZAM FC ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu leo Oktoba 31. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku. Azam FC itaingia uwanjani ikiwa imetoka kushinda bao 1-0 dhidi ya Simba na kusepa na pointi tatu mazima huku kipa wao Ali Ahamada akifanikisha ngome…
UONGOZI wa Yanga umetangaza kugawa bure tiketi 10,000 za mchezo wa Yanga dhidi ya Club Africain ya nchini Tunisia kwa mashabiki watakaochanja chanjo ya Uviko-19. Yanga wanatarajiwa kukutana na Club Africain Novemba 2 katika mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika kuwania kufuzu hatua ya makundi ya michuano hiyo, kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar….
KIUNGO wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba, Mzamiru Yassin amerejea na nyota kali kwa kuwa miongoni mwa waliofunga mabao kwenye mchezo wa leo dhidi ya Mtibwa Sugar. Baada ya dakika 90 kukamilika, ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 5-0 Mtibwa Sugar na kuifanya Simba kusepa mazima na pointi tatu. Mzamiru alifungua pazia…