
YANGA YABADILI MBINU, MGUNDA AFICHUA SIRI SIMBA
YANGA yabadili mbinu yaruka kiunzi cha kwanza, Mgunda afichua siri Simba ndani ya Spoti Xtra Jumapili
YANGA yabadili mbinu yaruka kiunzi cha kwanza, Mgunda afichua siri Simba ndani ya Spoti Xtra Jumapili
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Coastal Union v Dodoma Jiji kwa sasa utapangiwa tarehe nyingine baada ya ile ya awali kushindikana. Novemba 5,2022 mchezo huo ulipaswa kuchezwa kwa wababe hao kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Mkakwani Tanga mchezo huo ulipaswa kuchezwa ambapo timu zote zilikuwa zimefanya maadalizi…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa matokeo yote ya mechi zilizopita amewaambia wachezaji wake wasahau na badala yake watazame kazi zinazofuata mbele. Mgunda akishirikiana na Seleman Matola kashuhudia kikosi hicho kikishinda mechi tatu, sare moja na kuambulia maumivu kwenye mchezo mmoja kwenye ligi. Ndani ya dakika 450, safu ya ushambuliaji imetupia mabao 10…
SIMBA yaifungulia njia Yanga kimataifa kwa kuwapa mbinu kuwakabili Waarabu wa Tunisia
NYOTA wa timu ya Taifa ya Ujerumani na Klabu ya RB Leipzig ya nchini humo ambaye amewahi kukipiga katika klabu ya Chelsea Timo Werner, huenda akakosekana katika michuano ya Fainali za Kombe la Dunia 2022 zinazotarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia Novemba 21. Werner alipata majeraha ya kifundo cha mguu katika mchezo wa mwisho wa hatua…
MWANDISHI mkongwe kwenye masuala ya michezo Bongo Saleh Ally ameweka wazi kuhusu Yanga kimataifa na Kocha Mkuu wa timu hiyo Nasreddine Nabi
BEKI mwandamizi wa Barcelona, Gerard Pique ametangaza kuachana mazima na timu hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 14. Raia huyo wa Hispania alibainisha jambo hilo kupitia kipande cha video aliyoweka kwenye mitandao ya kijamii ambapo amesema kuwa mechi ya Jumamosi itakuwa ya mwisho ndani ya Camp Nou. Pique alionyesha picha zake za zamani akiwa kijana…
YANGA yawaacha waarabu kwenye mataa, Mgunda aifungia kazi Yanga, ndani ya Championi Jumamosi.
Ni muendelezo wa Ligi mbalimbali ulimwenguni, EPL, LaLiga, Ligue 1, Serie A na Bundesliga zote zitatimua vumbi wikiendi hii, Usiwaze kuhusu Odds bomba na kubwa, ni Meridianbet pekee ndio Mabingwa wa Odds hapa Tanzania. Jumamosi yenye mzuka itaanza kwa mechi kali ya EPL ni Manchester City ambao watakuwa ni wenyeji wa Fulham, wakiwa na…
KOCHA msaidizi wa Yanga, Cedrick Kaze amesema kuwa wanakwenda na wachezaji 21 ambao wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Club Africain unaotarajiwa kuchezwa Novemba 9,2022
UKUTA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda umekuwa ni kama chuma kutokana na kuruhusu mabao machache. Simba ikiwa imecheza mechi 8 ambazo ni dakika 720 imeokota nyavuni mabao manne ikiwa na wastani wa kufungwa bao moja kila baada ya dakika 180. Ni Joash Onyango, Henock Inonga, Mohamed Hussein,Shomari Kapombe hawa ni…
OFISA Habari wa Yanga, Ally Kamwe ameweka wazi kuwa wanakwenda kwenye dakika 90 ngumu kimataifa kusaka ushindi dhidi ya Club Africain ya Tunisia ambpo msafara leo umekwea pipa kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Novemb 9,2022
MAPEMA leo kikosi cha Yanga kimeanza safari kuelekea nchini Tunisia kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Club Africain. Jesus Moloko nyota wa Yanga ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa kwenye msafara ulioanza safari leo Novemba 4,2022 kuelekea nchini Tunisia. Bernard Morrison, Khalid Aucho, Fiston Mayele, Diara, Mshery, Kibwana Shomari na Dickson Job nao…
KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa washambuliaji wake wote wanazidi kuwa imara kwenye kila mchezo ambao wanacheza jamb linalowapa matokeo chanya. Staa Prince Dube wanamuita Mwana wa Mfalme amekuwa kwenye kasi nzuri katika mechi mbili za ligi za hivi karibuni akifunga mabao yaliyoipa pointi tatu muhimu timu hiyo. Aliwatungua Simba na…
MCHAMUZI wa masuala ya michezo na mtangazaji Bongo, Mwanaidi amebainisha kuwa Nasreddine Nabi amekuwa na rekodi nzuri ya kutofungwa kwenye mechi 45 za ligi lakini kuna jambo hawezi kukwepa
BAADA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 0-0 Club Africain, mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika wawakilishi hao wa Tanzania kimataifa wanatarajiwa kusepa leo. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Waarabu hao wa Tunisia, Novemba 9,2022. Wanahitaji ushindi wa aina yoyote ama sare ya kufungana…
KOCHA Mkuu wa Chelsea, Graham Potter amesema kuwa Kepa Arrizabalaga ataukosa mchezo ujao dhidi ya Arsenal. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu England unatarajiwa kuchezwa Jumapili. Sababu ya kipa huyo kuukosa mchezo huo ni kutokana na kusumbuliwa na majeraha. Raia huyo wa Hispania ni chaguo la kwanza ndani ya Chelsea tangu Potter achukue mikoba ya…