OFISA Habari wa Yanga, Ally Kamwe ameweka wazi kuwa wanakwenda kwenye dakika 90 ngumu kimataifa kusaka ushindi dhidi ya Club Africain ya Tunisia ambpo msafara leo umekwea pipa kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Novemb 9,2022