MZUNGUKO WA PILI YANGA KUJA KIVINGINE

CEDRIC Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mzunguko wa pili watakuwa tofauti kwenye upande wa kasi ya ufungaji wa mabao pamoja na ulinzi. Timu hiyo imekamilisha mzunguko wa kwanza ikiwa imepoteza mchezo mmoja kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu na inaongoza ligi ikiwa na pointi 38. Kaze amesema kuwa kukamilisha mzunguko wakiwa wanaongoza…

Read More

SIMBA NDANI YA MWANZA KUIVUTIA KASI GEITA GOLD

KIKOSI cha Simba kina kazi ya kusaka ushindi Desemba 18,2022 Uwanja wa CCM Kirumba mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo ni wa kwanza kwa mzunguko wa pili kwa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda. Mapema leo Desemba 16 kikosi hicho kimewasili Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho…

Read More

FEI, MAYELE KUIBUKIA POLISI TANZANIA

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema moja ya sababu iliyowafanya wasitumie wachezaji wote kwenye mchezo wao dhidi ya Kurugenzi FC ni kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania. Yanga ambao ni mabingwa watetezi kwenye mchezo wa raundi ya Pili Kombe la Shirikisho waliibuka na ushindi wa mabao 8-0 huku…

Read More

MWAMBA WA LUSAKA KAKIMBIZA NA HUKU PIA

CLATOUS Chama kiungo wa Simba amewafunika viungo wote ndani ya timu tatu zilizo ndani ya tatu bora kwenye kutoa pasi nyingi za mabao kwenye mchezo mmoja wa Kombe la Shirikisho. Vigogo Yanga, Azam hizi kweye ligi zinapambana kujenga utawala wao ambapo kinara wa pasi za mwisho ni Clatous Chama mwenye pasi 8 na mabao mawili…

Read More

WAKATI WENU SASA KIMATAIFA SIMBA, YANGA

TAYARI makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika yamewekwa hadharani huku wawakilishi wetu Simba na Yanga wakiwafahamu wapinzani wao ambao watachuana nao kuisaka hatua ya robo fainali ya mchuano hiyo. Simba wamepangwa na timu za Horoya, Raja Casablanca na Vipers huku Yanga wakiwa kundi moja na miamba Real Bamako, TP…

Read More

SANTOS AICHA URENO YA CRISTIANO RONALDO

BAADA ya kuiongoza timu ya Taifa ya Ureno kwenye Kombe la Dunia 2022 Qatar na kutolewa katika hatua ya robo fainali na Timu ya Taifa ya Morocco, Fernando Santos aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo amesepa. Baada ya kocha huyo kubwaga manyanga jina la kocha wa Roma, Jose Mourinho ni miongoni mwa jina linalotajwa kwa…

Read More

AZAM FC KUTUPA KETE YAO KAITABA

KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wamejiandaa vizuri kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC inaanza leo mzunguko wa pili baada ya kufunga mzunguko wa kwanza na rekodi ya kushinda mechi 8 mfululizo chini ya Ongala. Kwenye msako wa pointi 24, Ongala…

Read More

BEKI MTIBWA SUGAR AINGIA ANGA ZA SINGIDA BIG STARS

BAADA ya kuwaaga mabosi wake Mtibwa Sugar beki wa kazi Nickson Kibabage anatajwa kuwa kwenye rada za kuibukia ndani ya Singida Big Stars. Nyota huyo aliwaaga wachezaji na viongozi wake rasmi Desemba 13 kwa kueleza kuwa anashukuru kwa muda wote ambao alikuwa ndani ya timu hiyo. Pia alikuwa anavaa kitambaa cha unahodha jambo ambalo liliwafanya…

Read More

MOROCCO WAMEMALIZA MWENDO WA KUSAKA FAINALI

MWENDO wa Timu ya Taifa ya Morocco kutoka Afrika umegotea hatua ya nusu fainali baada ya kupoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya mabingwa watetezi Ufaransa. Ufaransa imewafunga Morocco mabao 2-0 sasa itamenyana na Timu ya Taifa ya Argentina kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia Qatar 2022 inayotarajiwa kuchezwa Jumapili. Ni mabao ya…

Read More

AZIZ KI ATAJWA KICHAPO CHA KURUGENZI

KOCHA msaidizi wa Kurugenzi FC, Bernard Magogo amesema kuwa sababu kubwa iliyowavuruga wachezaji wake wakapoteza kwa kufungwa mabao 8-0 ni safu ya kiungo ya Yanga iliyokuwa inaongozwa na Aziz KI. Desemba 11,2022 Kurugenzi FC ilikubali kupoteza mchezo wa raundi ya Pili jambo lililoifanya ikafungashiwa virago na mabingwa watetezi.  Magogo amesema kuwa walikuwa na mbinu walizopanga…

Read More

MAKUNDI TAYARI YAMESHAPANGWA, MAISHA YAENDELEE

KWENYE ulimwengu wa mpira kwa sasa kinachozungumzwa ni kuhusu makundi ambayo yamepangwa huko Misri ambapo wawakilishi wa Tanzania kila mmoja ameona atakayecheza naye. Simba yupo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga yupo kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, hapa kazi ipo hasa ukizingatia inapokuja suala la mashindano ya kimataifa ni lazima kila mmoja afanye kweli….

Read More