
KOCHA YANGA NA SAFARI YAKE YA MWISHO
KOCHA bora Desemba mechi yake ya mwisho ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 4-0 Kagera Sugar wakakomba pointi tatu muhimu na kukaa namba moja kwenye msimamo kwa saa 24. Ni Sead Ramovic hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kufunga…