
YANGA:RIVERS WAMEINGIA KWENYE MFUMO,SIMBA YATAMBA
YANGA: Rivers wameingia kwenye mfumo, Mbrazil: Waarabu? Mhona tunaenda nusu Caf ndani ya Championi Ijumaa
YANGA: Rivers wameingia kwenye mfumo, Mbrazil: Waarabu? Mhona tunaenda nusu Caf ndani ya Championi Ijumaa
USAJILI wa Simba kwa mshambuliaji Mkongomani, Jean Baleke umeonekana kuwa bora zaidi ya straika wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda. Hiyo imetokana na kasi na ubora wake wa kufunga mabao tangu Mkongomani huyo ajiunge na Simba katika usajili wa dirisha dogo kama ilivyo kwa Musonda. Usajili wa Baleke ulikuwa ukibezwa kutokana na kujiunga na timu hiyo…
WINGA wa TP Mazembe ya DR Congo, Phillipe Kinzumbi, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kutua nchini tayari kwa kuingia kambini Yanga. Nyota huyo ni kati ya wachezaji walio katika mipango ya kusajiliwa na Yanga kwa ajili ya msimu ujao ambapo wikiendi iliyopita alipewa mkataba wa awali. Usajili wa Kinzumbi ni chaguo la Kocha Mkuu wa…
LICHA ya kikosi cha Yanga kutinga kwa mara ya kwanza hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini bado timu hiyo imepewa nafasi ya kulibebe taji hilo msimu huu. Yanga imeshafuzu hatua ya robo fainali baada ya kuongoza Kundi D kwa kukusanya pointi 13, huku jana Jumatano droo ya hatua ya robo…
JEMBE aichambua Rivers United v Yanga kimataifa
NYOTA Bernard Morrison tayari yupo ndani ya uwanja wa mazoezi kwa ajili ya mchezo ujao dhidi ya Geita Gold baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akipambania hali yake. Hakuwa sehemu ya kikosi kilichocheza hatua ya makundi na kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho kutokana na kutokuwa fiti. Yanga inayonolewa a Kocha Mkuu,…
Jijini Dar es salaam kunazidi kupambwa na rangi nyekundu ya Meridianbet ambapo maduka kibao yanazidi kuzinduliwa kila mwezi na sasa kampouni hiyo ya ubashiri imeona kuwa kuwa ulazima wa kufika maeneo ya Jamhuri Posta na kuwaletea duka jipya la kubetia. Unataka ODDS KUBWA? Machaguo Mengi? Nenda Meridianbet. Duka hilo ambalo limezinduliwa mtaa wa Jamhuri Posta…
LEGEND Jonas Mkude na waliochukua nafasi yake
WAKIWA na hesabu za kuvaana na Ihefu kesho mchezo wa Khatua ya robo fainali Azam Sports Fedration wameshatambua kigongo watakachokutana nacho kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Ni Wydad Athletic Club hawa watamenyana na Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali. Baada ya droo kuchezwa nchini Misri tayari Simba…
YANGA kwenye hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho imepangwa kumenyana na Rivers United. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imefuzu hatua ya robo fainali ikiwa namba moja kwenye kundi D na pointi zake ni 13. Droo ya hatua ya robo fainali imecezwa nchini Misri Aprili 5 na Yanga kuangukia mikononi mwa Rivers…
Yanga yasogezewa ubingwa, Simba jeuri tupu CAF ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
YANGA kuivaa miamba hii kwenye anga za kimataifa
Sub-Heading: Aprili ya Kishua unaambiwaje jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza sloti ya kasino ya mtandaoni. Kujisajili bonyeza hapa: https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Furahia sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Meridianbet Veni Vidi Vici! Ikiwa unafurahia michezo inayoelezea mambo ya kale, Meridianbet kasino ya mtandaoni wana zawadi…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa yaliyotoea Morocco yote ni somo kwao na sasa macho yao ni kwenye mchezo wao dhidi ya Ihefu ambao ni wa robo fainali Azam Sports Federation. Simba imetoka kufunga kete ya sita hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mohamed V ukisoma Raja Casablanca 3-1…
MWAMBA Anuari Jabir amepata dili a kwenda kufanya majaribio kwa muda wa siku 14 kutoka Klabu ya Ligi Kuu ya Ubelgiji (Pro League Belgium) Jumatatu ya Aprili 3 aliwasili salama Ubegiji kwa kwa ajili ya majaribio ya kuchezea timu hiyo na mipango ikienda sawa anaweza kumwaga wino huko. Jabir ni chaguo la kwanza la Kocha…
Robo fainali CAF: Waleteni tumalizane ndani ya Championi Jumatano
NJE ndani TP Mazembe kaacha pointi tatutatu mbele ya Yanga walipokutana kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi wote wakiwa kundi D. Yanga wamekamilisha mechi ya sita wakiwa wanaongoza kundi na kibindoni wana pointi 13, hapa tunakuletea kazi ilivyokuwa Uwanja wa TP Mazembe:- Lenny Junior Kipa huyu aliokoa hatari dakika ya 6,14,15…