
SPIKA WA BUNGE USO KWA USO NA VIONGOZI WA SIMBA
JUNI 6,2023 Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Murtaza Mangungu. Mbali na Mangungu pia Mkurugenzi Mtendaji, Imani Kajula ni miongoni mwa viongozi waliokuwa kwenye mazungumzo hayo yaliyofanyika ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Viongozi hao waliambatana Mjumbe wa Bodi na Mwenyekiti wa Tawi…