MASTAA WAPIGWA MKWARA YANGA

INATAJWA kuwa mastaa wote waliopo kikosi cha Yanga ikiwa  ni pamoja na nyota watano ndani ya kikosi cha Yanga wameambiwa wanapaswa kuonyesha uwezo wao kwenye mechi zao zijazo ili kuendelea kupata namba katika kikosi hicho. Yanga chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi imecheza mechi tano za Ligi Kuu Bara ipo nafasi ya tatu na pointi…

Read More

SIMBA YATOA TAMKO ISHU YA WAAMUZI BONGO

WAKIWA wanaongoza ligi na pointi zao 15 kibindoni baada ya kucheza mechi tano, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amewakingia kifua waamuzi kwa kubainisha kuwa kila mmoja anatimiza majukumu yake. Simba kwenye mchezo wake wa tano dhidi ya Singida Fountain Gate uliochezwa Uwanja wa Liti, ilishuhudia ubao ukisoma Singida Fountain Gate 1-2 Simba….

Read More

MTAMBO WA MABAO YANGA WATEMBEZA MKWARA

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga, Maxi Nzengeli amepiga mkwara kwa kuweka wazi kuwa kazi itaonekana zaidi kwa vitendo uwanjani katika kusaka ushindi. Nyota huyo anayevaa jezi namba 7 kibindoni katupia mabao matatu katika mechi za ligi pekee na katengeneza pasi moja ya bao ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya KMC, Uwanja wa Azam…

Read More

KIMATAIFA MUHIMU KUANZA MAANDALIZI KWA SASA

MUDA uliopo kwa sasa ni mwendelezo wa mashindano yaliyopo mbele kitaifa na kimataifa. Ambacho kinatakiwa ni maandalizi mazuri kwa timu zote. Kila mmoja anapenda kuona matokeo yanapatika kwenye mechi zote. Iwe ni zile za kirafiki ama za ushindani muhimu ushindi kwa kuwa hapo furaha imejificha. Ni muda wa wachezaji kufanya kazi zao kwa umakini bila…

Read More

SIMBA WAWAPIGIA HESABU AL AHLY

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Al Ahly maandalizi yapo sawa na hesabu kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo huo. Ahmed Ally, Meneja Habari wa Idara ya Mawasiliano Simba amesema mchezo huo utachezwa Uwanja wa Mkapa na kutakuwa na burudani kubwa kwa mashabiki watakaojitokeza. “Mechi itachezwa saa 12:00…

Read More

KUBEBA MATOKEO MFUKONI KUTAWAPOTEZA KIMATAIFA

KILA timu imeshatambua mpinzani wake kwenye  Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kupangwa. Kila timu imetambua ni wapinzani wa aina gani ambao itakabiliana nao kwenye mechi za kimataifa. Kufika kwenye hatua hiyo ni muhimu kuwapa pongezi wahusika kwa kuwa walipambana kufikia malengo. Yanga na Simba kazi kubwa walifanya katika kupata matokeo. Kwa yaliyotokea mpaka kuwa…

Read More

MAOKOTO DEILEE YA SPORTPESA MSHINDI KUTOKA ARUSHA AKOMBA MILIONI 15

 KAMPUNI namba moja ya michezo ya kubashiri SportPesa kwa ushirikiana na mtandao wa Tigo kupitia huduma ya TigoPesa  Oktoba 10 waliwazawadia washindi wanne zawadi. Katika washindi hao washindi wawili wamejishindia simu janja huku mmoja akikomba shilingi   1,000,000 na Diatus Ishengoma amefanikiwa kuwa mshindi wa shilingi 15,000,000 wa kampeni ‘Maokoto Deilee’. Mshindi wa milioni 15 za…

Read More

JIONI KABISA MTU ALIPOTEZA AKIWA NYUMBANI

REKODI iliyoandikwa zama zile ikiwa inaitwa Singida Big Stars kwa Simba kukwama kokomba pointi tatu ilivunjwa Oktoba 8 baada ya ubao kusoma Singida Fountain Gate 1-2 Simba. Jioni kabisa mbabe alipatikana kutokana na bao lililofungwa ikiwa ni dakika 8 zilibaki kugota mwisho kwenye mchezo huo. Ikumbukwe kwamba ilipokuwa ikiitwa Singida Big Stars ubao ulisoma Singida…

Read More

KOCHA YANGA AWAPA ANGALIZO MASTAA WAKE CAF

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa baada ya kutinga hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wana kazi kubwa ya kufanya. Tayari Yanga wameshatambua kundi ambalo watakuwa kupambania pointi likiwa ni pamoja na Al Ahly ya Misri kwenye kundi hilo.  Yanga ilikuvunja rekodi ya kufuzu hatua hiyo baada ya miaka 25…

Read More

UKUTA WA SIMBA UNATESEKA KINOMANOMA

WEKA kando suala la kuongoza kwenye Ligi Kuu Bara kwa Simba, rekodi zinaonyesha kuwa ukuta wao unateseka kwenye mechi za ugenini kutokana na kutunguliwa kila wanaposhuka uwanjani. Katika mechi tano ambazo ni dakika 450 Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ni mechi tatu ilicheza ugenini huku mbili ikicheza ikiwa nyumbani. Ukuta wa Simba chini…

Read More

PANAPOVUJA PAMEONEKANA NI MUDA WA KUJIPANGA UPYA

BAADA ya mechi tano za Ligi Kuu Bara kuchezwa tayari pale ambapo panavuja pameshatambulika. Makosa ya timu kwenye dakika 90 yalionekana na benchi la ufundi liliona hivyo ni muda wa kufanyia kazi. Wapo ambao lawama wanazikimbiza kwa waamuzi, hili nalo linapaswa kufanyiwa kazi. Wachezaji nafasi zile za dhahabu wanazozipata ni muhimu kuzitumia. Kawaida kila baada…

Read More

HASSAN MWAKINYO AKUTANA NA RUNGU ZITO

ADHABU ya kifungo cha mwaka mmoja ipo juu ya Hassan Mwakinyo, ambaye  amefungiwa kupanda ulingoni kwa muda huo. Mbali na kifungo hicho anapaswa kulipa faini ya shilingi milioni moja, kwa kosa la kugoma kupanda ulingoni katika Usiku wa Viwango, Septemba 29 2023. Uamuzi huo umefanywa na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBRC) kupitia kamati…

Read More