
KIGOGO SIMBA AKUBALI MUZIKI WA YANGA,NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO
KIGOGO Simba akubali muziki wa Yanga,kocha wa pasi anakuja Simba ndani ya Championi Jumatano.
KIGOGO Simba akubali muziki wa Yanga,kocha wa pasi anakuja Simba ndani ya Championi Jumatano.
MKONGWE wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Leonard Haule ‘Profesa Jay’ anasema kuwa, wasanii wanatakiwa kupendana na kuacha tabia za kinafiki kwa sababu wakiendekeza tabia hizo hazitaufikisha muziki wao pale wanapopataka. Jay ambaye mpaka sasa bado anakimbiza na ngoma yake kali ya Utaniambia Nini anasema kuwa, kuna baadhi ya wasanii hawapendani kabisa; yaani wanashindwa hata…
MANDOGA mtu kazi baada ya kupoteza pambano lake ameweka wazi kuwa kuna mengi alikutana nayo tangu mwanzo wa kupima uzito na mwisho kapoteza anajipanga upya
Kupitia Meridianbet utakutana na mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoelezea kisa cha Farao aliyelaaniwa kwa matendo yake, unachopaswa kufanya ni kuwa mkali kwa kucheza vizuri ni njia sahihi kukupa ushindi mkubwa. Jisajili Meridianbet ufurahie mchezo huu. The Cursed King ni mchezo wa kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zna mistari 19 ya malipo. Ili kupata…
Moto unakwenda kuwaka leo katika ligi ya mabingwa ulaya leo haswa kwenye kundi F ambalo wengi waliamua kuliita kundi la kifo kutokana na ugumu ambao upo kwenye kundi hilo na Meridianbet hawako nyuma kwani wametoa ODDS KUBWA kwenye michezo hiyo. Kundi F linaundwa na timu kama PSG, Newcastle United, Ac Milan, na Borussia Dortmund ambapo…
LEO Mei 31 Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu Pablo Franco Martin raia wa Hispania. Katika taarifa iliyotolewa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez, imeeleza kuwa katika kipindi chote cha kumalizia msimu, timu itakuwa chini ya kocha msaidizi, Seleman Matola. Taarifa hiyo imeongeza kuwa pia…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amemuomba msamaha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) Wallace Karia kutokana na tukio lililotokea Jijini Arusha katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid wakati wa mechi ya Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam. Mara baada ya mchezo huo kuna video iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Ofisa huyo wa Yanga akijibizana au…
Mamilioni yanaweza kua ya kwako leo kwa kucheza mchezo wa kasino wa 40 Lucky Sevens ambao umekua mchezo pendwa kwasasa na kutoa mamilionea kila uchwao. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma “Game Art“. Utapenda mchezo huu ikiwemo aina mbili za alama ya scatter. Pia kuna alama…
NYOTA wa KMC, Emmanuel Mvuyekule mshuti wake akiwa nje ya 18 umewapa faida mashabiki wa timu hiyo na kunyanyuka kwenye viti. Ni kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho raundi ya tatu ambapo ubao wa Uwanja wa Uhuru umesomaKMC 1-0 COPCO. Bao hilo lilipachikwa dakika tano zikiwa zimesalia kugota dakika ya 90 baada ya dakika 84…
KIUNGO wa Simba Pape Sakho amefunga bonge moja ya bao dhidi ya Singida Big Stars dakika ya 63. Bao hilo linafanya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 3-1 Singida Big Stars. Mabao mawili ya awali kwa Simba ni mali ya Jean Baleke aliyepachika bao mapema dakika ya 8 na lile la pili ni mali…
UPINDUAJI wa meza mbele ya Fulham ambao walitangulia kupachika bao dakika ya 56 kupitia kwa Aleksandar Mitrovic unawafanya Arsenal kuanza kwa kasi msimu wa 2022/23. Dakika 8 zilitosha kwa Klabu ya Arsenal inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta kufanya yao kwa kuanza kufunga mabao yao. Ni Mardtin Odegaard aliweza kuweka usawa ilikuwa dakika ya 64…
NYOTA wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil na Klabu ya Barcelona na AC Milan, Ronaldinho ameonywa kwamba anaweza kuibukia jela ikiwa atashindwa kumlipa mgawo wa mali mpenzi wake wa zamani ifikapo Desemba Mosi mwaka huu. Taarifa kutoka nchini Brazil zimeeleza kuwa nyota huyo mwenye miaka 41 ametakiwa kumaliza ishu hiyo na Priscilla Coelho…
JONAS Mkude kiungo wa Yanga alipeta kwenye mchezo dhidi ya Mamelodi Sundowns Uwanja wa Mkapa kwa kuanza kikosi cha kwanza na alikomba dakika 90 ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kwenye anga la kimataifa kuanza mwanzo mwisho
Baada ya kuwa na matokeo ya kusuasua katika Msimu wa 2023/24, mambo bado hayajapoa kwa Manchester United ambayo imekubali kichapo cha magoli 4-0 kutoka kwa Crystal Palace kwenye mchezo wa Premier League Magoli ya Michael Olise (mawili), Jean-Philippe Mateta na Tyrick Mitchell yameifanya Palace kufikisha pointi 43 ikiwa nafasi ya 14 huku Man. United ikibaki…
BAADA ya mchezo wao uliopita wakiwa ugeneni kupoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Liti ukisoma Singida Black Stars 1-0 Azam FC, kituo kinachofuata ni dhidi ya Yanga. Matajiri wa Dar kwenye mechi mbili ugenini walipata ushindi mchezo mmoja na kuambulia kichapo mchezo mmoja ambapo ushindi ilikuwa Uwanja wa Sokoine, baada ya dakika 90 ubao…
KUNA vingi vya kujivunia kwenye ardhi ya Tanzania ikiwa ni pamoja na mlima Kilimanjaro kutokana na kuwa na kilele chenye ubora. Kwenye ulimwengu wa soka kuna maskani ya Azam FC yalipo maskani ya timu bora ambayo inapambana kuonyesha ubora kwa vitendo, hapa tupo nao kwenye mwendo wa data kutazama kazi zao namna hii:- Mechi nyingi…
UONGOZI wa Simba umefungukia kuhusu wachezaji wake ikiwa ni pamoja na Aishi Manula ambaye ni kipa namba moja wa Simba, Babaccar Sarri kiungo mgumu Sadio Kanoute ambao hawapo kwenye msafara ulioibukia Misri kwa maandalizi ya kambi kuelekea msimu wa 2024/25.