>

TAIFA STARS KAMILI KUIVAA UGANDA LEO

 KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Honour Janza ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Uganda. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Septemba 3,2022 jijini Kampala, Uganda huku akiweka wazi kwamba wapo tayari kwa mchezo wa leo. Itakuwa ni Uwanja wa St Marys kwenye mchezo wa…

Read More

YANGA YAIVUTIA KASI AZAM FC

KIKOSI cha Yanga kipo kwenye maandalizi ya mchezo wao wa ligi ujao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Septemba 6,2022 Uwanja wa Mkapa. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ambaye ameongoza kwenye mechi mbili za ligi bila kuonja ladha ya kupoteza. Ilikuwa mchezo wake dhidi ya Polisi Tanzania iliposhinda mabao 2-1 na mchezo…

Read More

MSAFARA WA SIMBA KUREJEA DAR

BAADA ya kumaliza kazi kwenye mechi mbili za kirafiki ambazo walialikwa nchini Sudan na Klabu ya Al Hilal, kikosi cha Simba leo Septemba Mosi kinatarajiwa kurejea Dar. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki iliweza kupata matokeo kwenye mchezo mmoja chanya na mwingine waliweza kupata matokeo hasi.  Kwenye mchezo wa kwanza walipata ushindi wa…

Read More

KIUNGO WA YANGA AIBUKIA GEITA GOLD

 RASMI Geita Gold FC imemtambulisha nyota wao mpya Said Ntibanzokiza kuwa ni mali yao kwa msimu wa 2022/23. Anaibuka ndani ya Geita Gold akiwa ni mchezaji huru baada ya dili lake na Yanga kugota ukingoni mwishoni mwa msimu wa 2021/22.  Taarifa rasmi iliyotolewa na Geita Gold imeeleza kuwa ni dili la mwaka mmoja amesaini nyota…

Read More

WAMEANZA MSIMU KWA MAJANGA MASTAA HAWA

TAYARI mbio za kusaka ushindi kwenye Ligi Kuu Bara zinaendelea huku wachezaji wengine wakianza kwa majanga ya hapa na pale hali inayowafanya wasiwepo kwenye mechi za ushindani. Wapo wengine ambao walianza msimu lakini majukumu waliyopewa kwao yaliwapa matokeo tofauti na kile ambacho wengi walikuwa wanatarajia. Hapa tunakuletea baadhi ya mastaa ambao wameanza msimu kwa majanga…

Read More

YANGA WAJA NA MBINU TOFAUTI DHIDI YA AZAM FC

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amebainisha kuwa watabadilika kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Azam FC utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 6,2022. Mchezo huo unakuwa ni kwanza kwa Yanga kucheza ikiwa nyumbani baada ya kucheza mechi mbili kwenye mechi za ugenini. Nabi amesema:”Michezo ijayo ya ligi hatutacheza sawa na ile ya ugenini kwani tutakuwa…

Read More

MASTAA WATATU WAWANIA TUZO SIMBA

MASTAA watatu wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki wametajwa kwenye kipengele cha kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player of the Month). Tuzo hizo zimerejea kwa mara nyingine tena baada ya ligi kukamilika kwa msimu wa 2021/22 na mabingwa kuwa Yanga huku Simba wakiwa ni washindi…

Read More

SIMBA YACHEKELEA USHINDI

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata mbele ya Asante Kotoko walistahili na kama wagekuwa makini zaidi wangeshinda kwa mabao mengi. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki imealikwa kwenye mashindano maalumu nchini Sudan ambayo yameandaliwa na Klabu ya Al Hilal. Mchezo wao wa kwanza Simba ilishinda mabao 4-2 huku…

Read More

SIMBA QUEENS KUSAKA UBINGWA KIMATAIFA LEO

SIMBA Queens leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya She Corporate ya Uganda kwenye mchezo wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ukanda wa Cecafa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Agosti 27 Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku na ikishinda itatwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza. Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian…

Read More

KOCHA NABI AFUNGUKIA ISHU YA MANZOKI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa kwa sasa hawana mpango wa kuweza kumsajili mchezaji mwingine wa kigeni kama ambavyo imekuwa ikielezwa. Jina la nyota Cesar Manzoki ambaye ni mali ya Vipers SC ya Uganda limekuwa likitajwa kuweza kumalizana na Yanga kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo msimu wa 2022/23. Pia mshambuliaji…

Read More

AZIZ KI,OKRA WAPEWA KAZI MAALUMU KWENYE DABI

MASTAA wawili wapya kwenye timu zao ambazo zinatarajiwa kukutana leo kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii, Azizi KI na Augustino Okra. Leo Aziz KI ambaye ni ingizo jipya ambaye alijiunga na Yanga akitokea Klabu ya ASEC Mimosas atakutana na Okra ambaye alijiunga na Simba akitokea Klabu ya Bechem United ya Ghana. Ni kazi ya kupiga…

Read More

IJUE SABABU YA MASHINDANO MAPYA AFRIKA

RAISI wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika, Patrice Motsepe ametangaza kuanzishwa kwa mashindano mapya ya vilabu Afrika yatakayo julikana kama “CAF Super League” alipokuwa akizungumza katika mkutano mkuu wa CAF uliofanyika hivi karibuni jijini Arusha nchini Tanzania. Michuano hiyo itaanza kutimua vumbi Agosti,2023 ikihusisha timu 24. Malengo makubwa ya michuano hiyo ni kusaidia timu…

Read More

KIUNGO MNIGERIA KUNOGESHA SIMBA DAY

 KIUNGO Mnigeria,Nelson Okwa aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Rivers United uhakika ni mali ya Simba hivyo atakuwa ni miongoni mwa wale ambao watanogesha Simba Day. Nyota huyo alikuwa kwenye mazungumzo ya mwisho na mabosi wa Simba ambao walikuwa wakihitaji kuweza kuinasa saini yake. Kiungo huyo ni raia wa Nigeria anakuwa mchezaji wa kwanza ndani…

Read More

SIMBA KURUDI KWA KASI MSIMU UJAO,NYOTA WAPYA WATAJWA

SELEMAN Matola,Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa usajili ambao umefanywa kwa ajili ya maboresho ya kikosi hicho kunawafanya warudi msimu ujao wakiwa na kasi nyingine. Nyota sita wametambulishwa Simba ikiwa ni wazawa wawili ambao ni Habib Kyombo na Nassoro Kapama huku wageni ikiwa ni Moses Phiri, Mohamed Outtara,Victor Ackpan,Auhgustine Okra. Matola amesema kuwa kwa namna ambavyo…

Read More

YANGA KILA KITU NI BYUTIBYUTI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kuelekea Wiki ya Mwananchi,Agosti 6,2022 kila kitu Byuti Byuti kama ilivyo slogan yao kwa mwaka huu. Makamu wa Rais Young Africans SC na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Wiki ya Mwananchi,Arafat Haji amesema kuwa maandalizi yapo vizuri na kila kitu kinakwenda sawa. “Agosti 6 ndiyo siku pekee ambayo…

Read More