>

MENEJA MPYA YANGA ATOA SHUKRANI ZAKE KMC

WALTER Harson aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa KMC ameweza kuwashukuru maosi wake hao na sasa anakwenda kuanza changamoto mpya ndani ya kikosi cha Yanga. Ujumbe wake ambao amewaandikia mashabiki wake pamoja na KMC unasomeka namna hii:”Imekuwa miaka minne yenye kujifunza na kukua katika tasnia. Nafasi niliyoipata ya kuhudumu kama Mtendaji Mkuu wa Klabu kwa kipindi chote…

Read More

SHINDA KIBINGWA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET, CHEZA SLOTI YA DEUCES WILD POKER!

Una ufundi kiasi gani linapokuja suala la sloti za kasino ya mtandaoni? Huu ni uzoefu ambao unaweza kufurahia pale ukijaribu. Ukiwa una uhakika wa burudani na ushindi mkubwa. Nakumegea kipande cha sloti ya mtandaoni ya Deuces Wild Poker! Kuhusu Sloti ya Deuces Wild Poker – Ni Mtandaoni tu! Naam, usisubiri kuhadithiwa, linapokuja suala la ushindi….

Read More

TANZANIA YASHINDA MBELE YA SOMALIA

 UWANJA wa Mkapa mchezo wa kuwania kufuu CHAN, timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars imeweza kuibuka na ushindi mbele ya Somalia. Ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Somalia 0-1 Tanzania na kuwafanya Watanzania kuweza kuanza kwa ushindi kwenye mchezo wa leo. Mtupiaji wa bao la Tanzania ni kiungo Abdul Suleiman, ‘Sopu’ ambaye alipachika bao hilo…

Read More

AZAM FC KAMBI IMEPAMBA MOTO,KESHO KUSEPA

ABDIHAMID Moallin, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wanatarajia kucheza mechi nyingi za kirafiki nchini Misri ambapo wataweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Kesho Ijumaa,Julai 22 kikosi cha Azam FC kinatarajia kukwea pipa kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya siku 20. Kocha huyo ameweka wazi kuwa program ambazo alianza…

Read More

UWANJA WA SINGIDA NI LITI,KAMBI ARUSHA

SINGIDA Big Stars kwa msimu wa 2022/23 imeweka kambi yake Arusha ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya unaotarajiwa kuanza Agosti. Timu hiyo kwa sasa inaendelea kufanya maboresho kwa kuwatambulisha wachezaji wapya ambao imewapa madili mapya. Ikumbukwe kwamba awali ilikuwa inaitwa DTB wakati huo ilipokuwa inashiriki Championship na kwa sasa imebadili jina na inaitwa Singida Big…

Read More

AZAM FC YAFUNGA USAJILI NA BEKI WA KAZI

 UONGOZI wa Azam FC umefunga usajili wao kwa kumtambulisha beki wa kati wa kimataifa raia Senegal, Malickou Ndoye, akitokea Teungueth FC ya huko. Taarifa iliyotolewa na Azam FC imeeleza kuwa Ndoye mwenye miaka 22, ni mmoja wa mabeki wanaokubalika na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Senegal, Aliou Cisse ambaye alimjumuisha kwenye kikosi kilichoshiriki…

Read More

ROBERTSON ANAAMINI NUNEZ ATAKUWA MSAADA

 BEKI wa Liverpool,Andy Robertson ameweka wazi kuwa ingizo jipya ndani ya kikosi hicho Darwin Nunez utaleta mabadiliko kutokana na uwezo wake. Ni pauni milioni 85 zimetumika na Liverpool kuipata saini ya Nunez mwenye miaka 23 ambaye ametoka Klabu ya Benfica,mwezi uliopita. Nyota huyo alishindwa kuonyesha makeke kwenye mchezo wake wa kwanza wa kirafiki wakati timu…

Read More

AZAM FC YATAMBIA USAJILI WAO

UONGOZI wa Azam FC, umeweka wazi kuwa usajili ambao wameufanya kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23 umezingatia mapendekezo ya benchi la ufundi kwa asilimia kubwa. Tayari Azam FC imewatambulisha mastaa 8 ikiwa ni pamoja na Cleophance Mkandala kutoka Dodoma Jiji,Isah Ndala kutoka Plateau United,Tape Edinho kutoka ES Bafing,Kipre Junior kutoka Sol FC. Pia yupo…

Read More

YANGA WATAJA SABABU YA KUMPA MKATABA AZIZ KI

BAADA ya kukamilisha utambulisho wa kiungo wa Yanga, Aziz KI uongozi wa Yanga umetaja sababu ya kumsajili kiungo huyo kuwa ni uwezo wake. Inaelezwa kuwa usajili wa kiungo huyo aliyekuwa anakipiga ndani ya ASEC Mimosas umewatoa Yanga milioni 700 akiwa amepewa kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia mabingwa mara 28 wa Ligi Kuu Bara. Ofisa Habari…

Read More

NENGA,NANDY WAPEWA KADI NA RAIS

 RAIS  wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said amewakabidhi kadi za uanachama kwa Wasanii Faustina Mfinanga wanamjua kwa jina la Nandy na William Lyimo  wengi wanauita Nenga. Wawili hao kwa sasa ni mwili mmoja baada ya kukamilisha kufunga pingu za maisha wikiendi hii. Mbali na kadi hizo pia Injinia Hersi aliwakabidhi fedha  Tsh Mil 5,ikiwa…

Read More

ISHU YA KAMBI YA YANGA MORO IPO HIVI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa suala la kambi kwa maandalizi ya msimu wa 2022/23 lipo mikononi mwa benchi la ufundi. Mpango wa awali wa Yanga kuweka kambi ilikuwa ni nchini Tunisia na imeelezwa kuwa mpango huo umewekwa kando kutokana na muda kutajwa kuwa mdogo. Pia habari zinaeleza kuwa kwa sasa wanatarajia kwenda kuweka kambi…

Read More

SIMBA KUCHEZA MECHI TATU ZA KIRAFIKI MISRI

WAKIWA kwenye maandalizi ya msimu wa 2022/23 washindi namba mbili kwenye Ligi Kuu Bara,Simba wameweka wazi kuwa wanatarajiwa kucheza mechi tatu za kirafiki. Kwenye msimamo Simba ilimaliza ikiwa nafasi ya pili na pointi 61 baada ya kucheza mechi 30 za ligi. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally amesema…

Read More

USAJILI UNAZINGATIA RIPOTI YA BENCHI LA UFUNDI?

WAKATI timu mbalimbali za Ligi Kuu Tanzania Bara zikiwa zinafanya usajili wa wachezaji wao mbalimbali kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao kuna mambo ngoja tuwakumbushe. Kwanza kabisa ni kuhusu usajili ambao unaedelea kwa sasa lakini pia ni katika maandalizi yao mzuri kuelekea katika michuano ya kimataifa. Kwa msimu ujao Yanga,Simba,Azam FC na Geita Gold…

Read More

KAMBI YA SIMBA MISRI NI NOMA

WASHINDI namba mbili kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara,Simba wameweza kufika salama nchini Misri baada ya safari yao kuanza jana Julai 14,2022. Msafara huo umeweka kambi nchini Misri ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 Simba ilikwama kusepa na taji lolote na kuwafanya watani zao wa jadi kuweza…

Read More