MRITHI WA SENZO YANGA ATAMBULISHWA

UONGOZI wa Yanga leo Septemba 27,2022 umemtangaza Adre Mtine kutoka Zambia kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa klabu hiyo. Ni mkataba wa miaka miwili CEO huyo amepewa kufanya kazi ndani ya Yanga ambapo utambulisho wake umefanywa na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said. Anakuja kuchukua mikoba ya Senzo Mbatha raia wa Afrika Kusini ambaye mkataba…

Read More

JEMBE AMPA USHAURI HUU BM 3

MWANDISHI Mkongwe kwenye masuala ya mpira Bongo, Saleh Ally ‘Jembe’ amesema kuwa winga wa Klabu ya Yanga Bernard Morrison anatakiwa kurekebisha tabia yake ya kushindwa kujizuia hasira zake na mwishowe kufanya matukio ambayo yanampa hasara. Nyota huyo kutokana na makosa hayo amesababisha afungiwe kucheza michezo mitatu ya Ligi Kuu ya NBC pamoja na faini ya…

Read More

KANE AKUBALI KASI YA HAALAND

 MSHAMBULIAJI wa Tottenham, Harry Kane raia wa England ameweka wazi kuwa kasi ambayo ameanza nayo mshambuliaji mpya ndani ya Manchester City, Erling Haaland ni nzuri ila naye ataongeza juhudi kutimiza majukumu yake. Haaland raia wa Norway amekuwa chachu ya matokeo mazuri uwanjani ametupia jumla ya mabao 14 kwenye mechi za mashindano yote. Ni namba moja…

Read More

KIMATAIFA STARS FANYENI KWELI

MVURUGANO ambao huwa unapatikana baada ya matokeo yasiyotarajiwa kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania kwenye benchi la ufundi pamoja na wachezaji huwa unakuwa sio wa kawaida. Hii inatokea kwa sababu kila mmoja anapoingia uwanjani mpango wake ni kuona timu inapata matokeo na pale inaposhindikana. Uzuri ni kwamba mchezo wa mpira ni mchezo wa…

Read More

WAZAWA SIMBA WANSTAHILI PONGEZI KWA WALICHOKIFANYA

WAZAWA wawili ambao kwa sasa wanakinoa kikosi cha Simba wote wameanza mwendo wao kwa kasi nzuri wanastahili pongezi na kuongza juhudi zaidi katika kutimiza majukumu yao. Kocha Mkuu, Juma Mgunda ameanza kibarua kwenye nyakati ngumu kwa kuwa timu ilikuwa bado haijaungana na muunganiko wake ulikuwa unatafutwa. Kuondoka kwa Zoran Maki na mikoba yake kuwa mikononi…

Read More

MSHERY KAONYESHA ANAWEZA AKIAMINIWA, KAZI BADO

ANAZIDI kuimarika akiwa langoni, Aboutwalib Mshery na alipewa dakika 90 mbele ya Zalan FC mchezo wa kwanza na ule wa pili alitumia dakika 45. Sababu ya kupewa nafasi kikosi cha kwanza ni kutokana na maumivu ambayo alikuwa nayo kipa namba moja, Diarra Djigui hivyo kazi ikawa kwake kutimiza majukumu ya timu. Kutinga hatua ya awali…

Read More

MAYELE ACHEKELEA KUTUPIA CAF

MSHAMBULIAJI namba moja wa Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa anafuraha ya kuwa miongoni mwa nyota walioweka historia kwa kufunga mabao mengi Ligi ya Mabingwa Afrika. Mayele katupia mabao sita msimu huu alifunga hat trick mbili ilikuwa mbele ya Zalan FC kwenye mechi mbili za hatua ya awali. Nyota huyo amesema:”Ilikuwa ni mechi ngumu kwetu mbele…

Read More

HAALAND ASEPA NA TUZO YA MCHEZAJI BORA

STAA wa Manchester City Erling Haaland ametajwa kuwa Mchezaji Bora Premier katika mwezi Agosti, (mwezi uliopita). Mshambuliaji huyo Mnorway ametwaa tuzo hiyo baada ya kuanza vyema maisha yake kwenye Premier, akitimiza majukumu yake kwa kuifanya City kutokufungwa hadi sasa katika ligi hiyo. Wampeta ushindi dhidi ya West Ham United, AFC Bournemouth, Crystal Palace, Nottingham Forest…

Read More

HATMA YA JUMA MGUNDA SIMBA IMEKAA HIVI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa umempa mkataba wa muda kocha Juma Mgunda na hatma yakeipo kwa kocha mpya ambaye atakuja kukinoa kikosi hicho hivi karibuni. Mgunda amekabidhiwa timu na mabosi wa Simba baada ya kutangaza kuachana na Mserbia, Zoran Maki ambaye alikiongoza kikosi hicho kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na alishinda zote. Maki ametangazwa…

Read More

BUKU MBILI TU KUWAONA YANGA KIMATAIFA

SEPTEMBA 17,2022 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zalan FC, Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ambapo kuwaona mastaa wa Yanga ikiwa ni pamoja na Farid Musa, Fiston Mayele, Feisal Salum ni buku mbili tu, (2,000). Kwa upande wa VIP A…

Read More

AZAM FC KUWAFUATA MBEYA CITY

KIKOSI cha Azam FC, kesho Septemba 12 kinatarajia kuibukia Mbeya kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuikabili Mbeya City, Uwanja wa Sokoine, Mbeya Septemba 13. Huo utakuwa ni mchezo wa tatu kwa Azam FC kucheza ndani ya ligi kwa msimu wa 2022/23 baada ya kukamilisha mechi tatu. Mechi mbili walicheza Uwanja wa Azam Complex na…

Read More

JUMA MGUNDA AFICHUA ALICHOWAAMBIA WACHEZAJI

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema aliwaambia wachezaji wacheze mpira jambo lililowapa matokeo chanya. Jana, Simba ikiwa ugenini iliambulia ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa dakika 90. Mabao ya Moses Phiri dakika ya 28 na John Bocco dakika ya 81 yalitosha kuipa ushindi timu ya Simba kwenye mchezo wa awali…

Read More

YANGA KAMILI KUIVAA ZALAN FC KWA MKAPA

 CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Zalan FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, leo Septemba 10,2022. Yanga inaingia katika mashindano haya ikiwa na kumbukumbu ya kutolewa katika hatua ya awali michuano hiyo msimu uliopita wa 2021/22. Ni Klabu ya…

Read More

MTIBWA SUGAR WANABALAA HAO WAICHAPA IHEFU

MTIBWA Sugar imebakiza pointi zote tatu Uwanja wa Manungu kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ihefu FC licha ya kutanguliwa kufungwa kwenye mchezo huo. Ilikuwa ni Uwanja wa Manungu ambapo nyota wa Ihefu Andrew Simchimba alipachika ao la kuongoza kwenye mchezo huo dakika ya 8,  Septema 7,2022   Mtibwa Sugar mabao yao yamefungwa na…

Read More