
TIMU YA TAIFA YA WENYE ULEMAVU YATINGA 16 BORA KOMBE LA DUNIA
TIMU ya Taifa ya Watu wenye ulemavu Tanzania (Tembo Warriors,) imefuzu kuingia katika hatua 16 bora katika mashindano ya kombe la dunia la mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu. Tanzania ilipata ushindi wake wa kwanza wakiifunga Uzbekistan mabao 2-0 huko Uturuki yanapoanyika mashindano hayo. Tembo Warriors sasa watakutana na Japan katika mchezo unaotarajiwa kuchezwa…