HONGERENI YANGA, KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO

YALE ambayo yalipangwa kwa kila mmoja kwenye msimu wa 2022/23 taratibu wengine wameshakamilisha na wengine bado wanasubiri mpaka mwisho. Ruvu Shooting ni mwendo wameumaliza kwenye mechi za ligi baada ya kushuka ndani ya ligi na sasa wanaibukia Championship. Wale ambao wamekwama kufikia malengo yao wakiwa wanasubiria mechi mbili za mwisho ni lazima wapambane kufikia malengo…

Read More

HAPA NDIPO ANGUKO LA SIMBA LILIPOANZIA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa makosa makubwa ambayo yamefanya anguko kwenye timu hiyo hajaanza leo bali miaka miwili nyuma. Msimu huu Simba imepoteza matumaini ya kutwaa taji la ligi linalotetewa na Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 71. Leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Ruvu Shooting mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa…

Read More

KIPA SIMBA ASEPA NA MKWANJA

KIPA namba tatu wa Simba, Ally Salim amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Aprili, 2023. Kipa huyo amekuwa chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Simba kwenye mechi za hivi karibuni baada ya kipa namba moja Aishi Manula kupata maumivu. Salim alikaa langoni kwenye…

Read More

IHEFU HAWANA JAMBO DOGO

UONGOZI wa Ihefu umeweka wazi kuwa mechi tatu zilizobaki watacheza kwa umakini kupata pointi tatu. Timu hiyo ipo nafasi ya 8 ikiwa imekusanya pointi 33 huku vinara wa ligi wakiwa ni Yanga wenye pointi 71. Zote zimebakiza mechi tatu mechi ijayo kwa Yanga ni dhidi ya Dodoma Jiji na kwa Ihefu ni dhidi ya Coastal…

Read More

YANGA MGUU MMOJA FAINALI KIMATAIFA

YANGA imetanguliza mguu mmoja hatua ya fainali kwa ushindi wa mabao 2-0 Marumo Gallants. Kipindi cha pili Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi amekamilisha kufunga hesabu kwa nyota wake kupachika mabao. Ni Aziz KI kiungo wa Yanga alianza kutupia bao la ufunguzi dakika ya 63 kwa shuti akiwa ndani ya 18 na lile la pili ni mali ya…

Read More

YANGA KAMILI KUIKABILI GALLATS

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya nusu fainali. Ni dhidi ya Marumo Gallants kutoka Afrika Kusini ambao usiku wa kuamkia leo Mei 9,2022 wamewasili ndani ya ardhi ya Dar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Mei 10, Uwanja wa Mkapa Yanga…

Read More

SIMBA KAMILI KUIKABILI NAMUNGO

JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa Simba amesema maandalizi yote kwa ajili ya mchezo mgumu dhidi ya Namungo yamekamilika. Simba inatarajiwa kumenyana na Namungo kwenye mchezo wa mzunguko wa pili Uwanja wa Majaliwa saa 1:00 usiku. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita kwa Namungo walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City na kwa upande wa Simba…

Read More

TANZANIA PRISONS KUBORESHA NGUVU USHAMBULIAJI

KOCHA Mkuu wa Tanzania Prisons, Abdalah Mohamed,’Bares’ amesema kuwa watafanya kazi kubwa kuiboresha safu ya ushambuliaji ili kufunga mabao mengi zaidi. Prisons ipo nafasi ya 9 ina pointi 31 baada ya kucheza mechi 27 katika ligi msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga wakiwa na pointi 68 baada ya kucheza mechi 26…

Read More

YANGA HAO NUSU FAINALI KIMATAIFA CAF

YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imeandika historia bora ya kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Faida ya mabao ya ugenini ubao uliposoma Rivers United 0-2 Yanga umewapa nguvu kusonga mbele. Mabao yote yalifungwa na Fiston Mayele akitumia pasi za Bakari Mwamnyeto. Katika mchezo wa leo Uwanja wa Mkapa wametoshana nguvu…

Read More

KMC YAPIGA HESABU HIZI HAPA

UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa mechi tatu ambazo zimebaki wanahitaji matokeo ya ushindi kufanikisha malengo ya kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara. Timu hiyo ina pointi 26 imecheza mechi 27 kwenye msimamo ipo nafasi ya 14 vinara ni Yanga walio nafasi ya kwanza ikiwa na pointi 68. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIFI Y WYDAD

KIKOSI cha Simba dhidi ya Wydad Casablanca mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua  kipo namna hii:- Ally Salim ameanza langoni, Shomari Kapombe, Henock Inonga, Joash Onyango, Mohamed Hussein amevaa kitambaa cha unahodha. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute katika eneo la kiungo mkabaji. Kibu Dennis,Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama upande wa viungo washambuliaji na Jean…

Read More

Blackjack Live Ni Sloti Rahisi Kushinda Hela Meridianbet

Sloti ya Blackjack Live      Kasino ya Mtandaoni Meridianbet kwa kushirikiana Expanse Studios wamekuja na sloti ya kijanja ya Blackjack Live/ mchezo wa karata ni sloti yenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack Live ni mchezo unaopendwa na kuchezwa sana ulimwenguni. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa burudani na ushindi kupitia sloti ya Blackjack…

Read More

KIMATAIFA NGOMA NI NGUMU SIO SIMBA,YANGA

NGOMA ni nzito kwa wawakilishi wa Tanzania, Simba na Yanga kwenye anga la kimataifa kutokana na kilatimu kuwa imara kwenye ushambuliaji huku Simba ikiwa na tatizo kwenye ulinzi. Roberto Oliveira raia wa Brazil anakiongoza kikosi cha Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika huku Nasreddine Nabi raia wa Tunisia yupo na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho…

Read More

MITAMBO YA KAZI HII HAPA SIMBA YATAJWA

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema uwepo wa nyota kama Clatous Chama, Saido Ntibanzokiza, Kibu Dennis pamoja na wachezaji wengine wote wa Simba unampa nguvu ya kuamua nani ataanza kikosi cha kwanza na kupata matokeo. Ni dakika 1,710 ambazo ni mechi 19 mfululizo za ligi kocha huyo akishirikiana na Juma Mgunda wameongoza bila kufungwa…

Read More