TAMBUA NAMNA SIMBA MPYA INAVYOSUKWA NDANI YA SPOTI XTRA
SIMBA mpya inasukwa na unaambiwa kuna mastaa 14 wafyekwa ndani ya Yanga, jipatie gazeti la Spoti Xtra, Alhamisi.
SIMBA mpya inasukwa na unaambiwa kuna mastaa 14 wafyekwa ndani ya Yanga, jipatie gazeti la Spoti Xtra, Alhamisi.
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kuwania saini ya mshambuliaji wa Orlando Pirates, Pepra kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho na ilikuwa ni pendekezo la Kocha Mkuu, Pablo Franco aliyekuwa anainoa timu hiyo kabla ya kufutwa kazi Mei 31,2022.
TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Queens’kesho inatarajia kutupa kete yake ya kwanza mbele ya Sudan Kusini. Ni kwenye mchezo wa mashindano ya CECAFA wanawake,ambayo imeanza kutimua vumbi leo Juni,Mosi 2022 nchini Uganda. Pia Waamuzi wa Tanzania Florentina Zablon, Janeth Balama, Tatu Nuru nao pia wapo kwenye orodha ya waamuzi ambao watachezesha…
IMEFAHAMIKA kuwa, uongozi wa Yanga umeachana na mipango ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa Zanaco, Mzambia, Moses Phiri na kumuachia kwenda Simba. Awali Yanga ilikuwa katika mipango ya kumsajili kiungo huyo katika kukiimarisha kikosi chao kwa ajili ya michuano ya kimataifa watakayoshiriki msimu ujao. Yanga imeanza kukiboresha kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao kwa kuwaongezea…
BAADA ya Klabu ya Simba kutangaza kuvunja mkataba na kocha wake mkuu, Pablo Franco, Raia wa Hispania, Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Haji Manara amesema kuwa ni moja ya makocha wenye nidhamu. Pablo alisaini dili la miaka miwili kutumika ndani ya Simba na alitua Bongo Novemba 10,2021 na mchezo wake wa kwanza alishinda mabao 3-1…
INAELEZWA kwamba, Kocha Mkuu wa APR ya Rwanda, Mohammed Adil Erradi, ametua Dar kimyakimya kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Simba huku akiwa ameomba ruhusa ya mapumziko katika klabu yake. Simba imekuwa katika kipindi cha kufanya mabadiliko makubwa ndani ya timu hiyo kutokana na kutokuwa na matokeo mazuri ikishindwa kutetea mataji yake yote…
SAID Ntibanzokiza, aliyekuwa nyota wa kikosi cha Yanga anatajwa kuibukia ndani ya kikosi cha Singida Big Stars ambayo zamani ilikuwa inaitwa DTB. Timu hiyo imepanda Ligi Kuu Bara msimu huu wa 2021/22 ikitokea Championship na msimu ujao wa 2022/23 itakuwa ndani ya ligi. Habari zimeeleza kuwa timu hiyo ambayo itakuwa na maskani yake Singida huku…
KOMBE la Dunia kwa sasa lipo kwenye ardhi ya Tanzania, Dar ndipo linapatikana kwa sasa. Hii ni desturi ya Shirikisho la Soka la Kimataifa, (Fifa) huwa wanakuwa na desturi ya kulitembeza Kombe la Dunia ambalo kwa mwaka 2022 linatarajiwa kuanza Novemba 21 hadi Desemba 18 huko Qatar. Jana Mei 31 Rais wa Tanzania, Samia Hassan Suluhu,…
NDANI ya Championi Jumatano habari kubwa inaeleza kuwa wakati Pablo akitimuliwa, Simba SC yafanya kikao na kocha mpya kwa saa 72
LEO Mei 31 Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu Pablo Franco Martin raia wa Hispania. Katika taarifa iliyotolewa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez, imeeleza kuwa katika kipindi chote cha kumalizia msimu, timu itakuwa chini ya kocha msaidizi, Seleman Matola. Taarifa hiyo imeongeza kuwa pia…
MABINGWA wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni Wydad baada ya kushinda mabao 2-0 dhidi ya Al Ahly kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mohamed V. Linakuwa ni taji la tatu kwa timu hiyo ya Morroco kuweza kutwaa baada ya kuanza kufanya hivyo 1992 na 2017. Zouhair El Moutaraji aliweza kuwa shujaa kwenye mchezo wa fainali ya…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba umeondoa matumaini yote ambayo walikuwa nayo watani wao wa jadi Simba kutwaa mataji msimu huu. Simba ilikuwa inatetea taji la Kombe la Shirikisho na kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 mbele ya Yanga. Kwenye upande wa Ligi Kuu…
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba anatarajiwa kukutana leo na uongozi wa Simba ili kuweza kuzungumza kuhusu mwendo wake ndani ya kikosi hicho. Kocha huyo baada ya kurithi mikoba ya Didier Gomes malengo yote ambayo alikabidhiwa na timu yameyeyuka jumlajumla jambo linalofanya nafasi yake kuwa kwenye wakati mgumu. Moja ya malengo ilikuwa ni kutetea mataji yaliyokuwa…
POLISI Tanzania wamendeleza kasi ya msako wa pointi tatu baada ya kushinda kwa mabao 2-0 Biashara United. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Ushirika Moshi,Mei 30 uliwafanya mastaa wa Polisi Tanzania kuwa na furaha baada ya ushindi huo. Ni ushindi wa pili mfululizo Polisi Tanzania inashinda baada ya kushinda mbele mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar….
STAA wa Liverpool, Sadio Mane ametangaza kuondoka ndani ya kikosi hicho msimu ujao wa 2023/24 hivyo hatakuwa miongoni mwa wale ambao watashiriki Ligi Kuu England akiwa na timu hiyo. Nyota huyo ambaye ni kiungo raia wa Senegal anatajwa kutua ndani ya kikosi cha Bayern Munich. Nyota huyo alitoa maamuzi yake ya kuondoka ndani ya Liverpool…
IMEELEZWA kuwa Klabu ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ipo kwenye hesabu za kuwania saini ya Mustafa Kiza. Nyota huyu ni beki raia wa Ugada hivyo anakuja kuongeza nguvu kwenye upande wa ulinzi ndani ya kikosi hicho. Yanga imekuwa imara kwenye upande wa mabeki msimu huu ikiwa ni timu namba moja iliyofungwa mabao…
BEKI wa Simba, Shomari Kapombe ameondolewa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kinachojiandaa kucheza na Niger na nafasi yake imechukuliwa na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC. Kapombe ameondolewa kwenye kikosi cha Stars kutokana na kusumbuliwa na majeraha aliyopata wakati akiwa ndani ya kikosi cha Simba. Nyota huyo aliumia kwenye mchezo wa…