
WAYDAD WATWAA TAJI LA TATU LIGI YA MABINGWA AFRIKA
MABINGWA wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni Wydad baada ya kushinda mabao 2-0 dhidi ya Al Ahly kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mohamed V. Linakuwa ni taji la tatu kwa timu hiyo ya Morroco kuweza kutwaa baada ya kuanza kufanya hivyo 1992 na 2017. Zouhair El Moutaraji aliweza kuwa shujaa kwenye mchezo wa fainali ya…