
KIPA HUYU WA KAZI KWENYE RADA ZA SIMBA
INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa wa kimataifa kuungana na timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki. Yanga mlinda mlango namba ni raia wa Mali ambaye anaitwa Djigui Diarra hivyo Simba ikipata saini yake anakwenda kuwa namba mbili. Namba moja kwa Simba ni mzawa Manula tofauti na Yanga ambapo namba moja…