>

MAKOSA YAFANYIWE KAZI KUIMARISHA STARS

DHAMIRA kubwa kwenye mechi za kirafiki ni kutambua makosa yalipo ili kuyafanyia kazi kwenye mechi zijazo. Tumeona namna wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania walivyopambana dhidi ya Sudan. Kupata sare ya kufungana bao 1-1 ugenini sio jambo la kujutia bali ni kuangalia wapi makosa yalifanyika. Kwenye safu ya ushambuliaji ni muhimu kuongeza umakini wakati…

Read More

NIDHAMU NGUZO KUBWA KWA MAFANIKIO

KAZI ni kubwa kwa timu zote kuendelea kufanyia maboresho pale penye upungufu kupitia mechi zilizopita. Tumeona namna ligi ilivyo na ushindani hii ni kubwa na inaonyesha thamani ya ligi yetu ya ndani. Jambo la msingi ni kuona kunakuwa na mwendelezo mzuri kwa mechi zinazofuata. Ushindani ambao uliopita kwenye mechi za mwanzo kabla ya ligi kusimama…

Read More

MAMBO NI MAGUMU KWELIKWELI

PUMZI ndefu inavutwa na kushushwa taratibu mambo yanapokuwa tofauti na vile ambavyo yalipangwa kuwa. Ngumu kuwa na furaha katika nyakati ngumu ambazo hazidumu. Kwenye ulimwengu wa msako wa pointi tatu muhimu kuna timu ambazo mwanzo wa ligi mambo yamekuwa ni magumu kwelikweli kuambulia ushindi. Hapa tunakuletea baadhi ya timu zinazopambania kombe namna hii:- Coastal Union…

Read More

KIMATAIFA MUHIMU KUANZA MAANDALIZI KWA SASA

MUDA uliopo kwa sasa ni mwendelezo wa mashindano yaliyopo mbele kitaifa na kimataifa. Ambacho kinatakiwa ni maandalizi mazuri kwa timu zote. Kila mmoja anapenda kuona matokeo yanapatika kwenye mechi zote. Iwe ni zile za kirafiki ama za ushindani muhimu ushindi kwa kuwa hapo furaha imejificha. Ni muda wa wachezaji kufanya kazi zao kwa umakini bila…

Read More

KUBEBA MATOKEO MFUKONI KUTAWAPOTEZA KIMATAIFA

KILA timu imeshatambua mpinzani wake kwenye  Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kupangwa. Kila timu imetambua ni wapinzani wa aina gani ambao itakabiliana nao kwenye mechi za kimataifa. Kufika kwenye hatua hiyo ni muhimu kuwapa pongezi wahusika kwa kuwa walipambana kufikia malengo. Yanga na Simba kazi kubwa walifanya katika kupata matokeo. Kwa yaliyotokea mpaka kuwa…

Read More

HUU HAPA MTAMBO WA MABAO NDAI YA AZAM FC

KIUNGO mwenye kazi kubwa ndani ya Azam C kutengeneza mipango ya kusaka pointi tatu anaitwa Feisal Salum, Fei Toto. Ni mtambo wa mabao ndani ya kikosi hicho tupo naye kwenye mwendo wa data namna hii:- Mabao yake Mabao matatu dhidi ya Tabora United mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex Katika mchezo huo Fei Toto alipachika…

Read More

SERIKALI IAMUE MOJA TU, IZIBEBE MOJA KWA MOJA GHARAMA

KUNA kila sababu ya kusema Serikali ya Jamhuri ya Tanzania chini ya Dk Samia Suluhu Hassan inajitahidi kuonyesha inafanya jambo katika michezo nchini. Inawezekana kwa awamu kadhaa zilizopita, Serikali imekuwa ikishiriki katika michezo katika nyanja mbalimbali. Kipindi hiki kumekuwa na mabadiliko zaidi na mengi yanahusisha hamasa na kidogo usaidizi katika gharama ya timu zetu za…

Read More

HAWAAMINI MACHO YAO SIMBA KIMATAIFA

HAWAAMINI macho yao Power Dynamos wapinzani wa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kushuhudia wakipokwa tonge mdomoni la kutinga hatua ya makundi. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Power Dynamos walianza kuwatungua Simba ndani ya dakika 20 za mwanzo kipindi cha pili mambo yalibadilika na kuruhusu nyavu zao kutikishwa. Dakika 90 zilikamilika…

Read More

KUVUNJIKA KWA KOLEO SI MWISHO WA UHUNZI

KWENYE anga la kimataifa tumeona namna ambavyo wawakilishi wa Tanzania walikuwa wakipambana kutafuta matokeo. Mwisho dakika 90 zimeamua nani atakuwa nani. Kwa Yanga walikuwa na faida ya ushindi wa mabao mawili waliyopata ugenini dhidi ya Al Merrikh na Simba wao sare ya mabao 2-2 waliyopata ugenini. Ni wazi kuwa wachezaji wa Yanga walijituma mechi zote…

Read More

WAMOROCCO WANAWASHANGAA WACHEZAJI WA TANZANIA

WACHEZAJI wengi waliopo Tanzania wamekuwa na kiwango kikubwa cha uchezaji lakini hawakuwahi kupitia katika shule za soka maarufu kama Academy. Ili mtoto awe bora ni lazima aanze kulelewa tokea akiwa mdogo akipata mafunzo ya mchezo husika ambao yeye anataka kuutumikia hapo baadaye. Watoto wengi wa Ulaya wamepata bahati kubwa ya kuwa na vyuo bora vya…

Read More

KIMATAIFA MALIZIENI MKIA KWA UMAKINI

WIKI ya kutambua mbivu na mbichi kwenye anga la kimataifa hii hapa imefika ambapo kila mmoja atavuna kile ambacho atakipanda ndani ya dakika 90. Yale majigambo ya nje ya uwanja muda wake unakwenda kugota mwisho kwani ipo wazi kuwa hakuna marefu yasiyokuwa nan cha. Muda huu uliobaki kwa wawakilishi wetu kimataifa ni kuchanga karata kwa…

Read More

TUSIJUMUISHE USHABIKI KWENYE MASUALA YA KUUMIZWA KWA INONGA

WAKATI mwingine si vibaya kusema mashabiki wa mpira na hasa Tanzania wamekuwa na mambo mengi sana yanayopaswa kulaaniwa. Binafsi nayaona ni masuala ambayo yanaonyesha ushabiki kupindukia wakati mwingine unakuwa ni tatizo kubwa sana. Ushabiki wa aina hiyo umewafanya mashabiki wengi washindwe kujitambua na ndio maana umeona baadhi ya mashabiki au wahamasishaji wanaotangaza zaidi chuki wamekuwa…

Read More