>

MKANDAJI KAKANDWA KARIAKOO DABI NYUMBANI

ASIYEKUBALI kushindwa si mshindani wanasema hivyo. Ilikuwa ni jasho la kazi kwa wanaume 22 kusaka ushindi Uwanja wa Mkapa na mwisho ubao ulisoma Simba 1-5 Yanga. Wakandaji Simba wakiwa nyumbani walikandwa na wapinzani wao Yanga kwenye msako wa pointi tatu muhimu.Hapa  tunakuletea namna kazi ilivyokuwa namna hii:- Aishi Manula Mchezo wake wa kwanza ndani ya…

Read More

KWAKO PILATO WA KARIAKOO DABI

TIMU zenye kiwango bora zaidi kwa Ukanda wa Afrika Mashariki kwa kipindi cha misimu saba sasa, ni Simba na Yanga. Simba imesumbua kwa muda mrefu, hasa kimataifa, wamekuwa wawakilishi wazuri wa Tanzania na Afrika Mashariki yote. Mwendo wa Simba, umefanya soka la Tanzania taratibu kupata heshima kubwa kimataifa na ile heshima waliyowahi kuwa nayo Ethiopia…

Read More

KUPIGANA UWANJANI NI USHAMBA, MUDA WAKE UMEISHA

JUMA lililopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Ihefu FC kuna kipande cha video kilisambaa kikionyesha kundi la mashabiki wa Simba wakimshushia kichapo shabiki aliyefahamika kuwa ni wa Yanga kutokana na rangi ya mavazi yake. Vitendo hivi kuna nyakati vilishamiri na tulipaza sauti vikapotea lakini hivi sasa vinaonekana kurejea tena kwa…

Read More

MUHIMU KUWA NA MAANDALIZI BORA KILA WAKATI

MWENDELZO mzuri unahitajika kwa wachezaji wote katika mechi ambazo wanacheza. Hali bado haijawa nzuri kwa baadhi ya wachezaji kufikiria mpira ni matumizi ya nguvu kubwa mwanzo mwisho. Ipo wazi kuwa mpira wa mchezo huwezi kuacha kutumia nguvu lakini ni muhimu kuwa makini. Kwenye msako wa pointi tatu ila ni muhimu kuwa makini katika kutimiza majukumu….

Read More

FUPA LILILOMSHINDA MTANI, MIKONONI MWA MNYAMA

MBINU za makocha wawili zitakuwa kazini leo kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa. Ni Roberto Oliveira wa Simba dhidi ya Moses Basena wa Ihefu. Oliveira ameliambia amesema kuwa wanahitaji pointi tatu kama ambavyo Basena mrithi wa mikoba ya Zuber Katwila naye anahitaji kuona wakikomba pointi hizo muhimu. Hapa tunakuletea…

Read More

UNA HELA? WIKIENDI IPO BIZE KINOMANOMA

UKIWA unajua wapi unakwenda ni rahisi kufika hata ukikutana na vikwazo vingi, lakini swali la msingi kujiuliza una hela? Ijumaa ipo bize utatokaje sasa nje ama ndani? Kwenye ulimwengu wa mpira, kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa leo katika msako wa pointi tatu muhimu. Hapa tunakuletea namna msako wao utakavyokuwa:- Yanga v Singida Fountain Gate Ngoma…

Read More

AL AHLY V SIMBA HAITAKUWA MECHI NYEPESI

BAADA ya mchezo wa ufunguzi kufanyika Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa kinachofuata kwa sasa ni mchezo wa marudiano ugenini. Ipo wazi kwamba Simba, iliandika rekodi ya kuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kucheza michuano mikubwa na mipya ya African Football League dhidi ya Al Ahly ya Misri. Haikuwa mechi nyepesi kutokana…

Read More

HAALAND NI MVUNJAVUNJA REKODI KIMATAIFA

Premier League ndio ligi yenye ushindani mkubwa duniani. Ubora wa ulinzi, ushambuliaji na karibu kila nyanja ya soka iko katika kiwango cha juu zaidi. Baadhi ya wachezaji hufanikiwa kuvuka viwango hivyo na kujikuta wakihusika katika mabao mengi (mabao&asisti). Leo tunaangalia wachezaji 10 bora wa Premier waliotoa mchango wa mabao mengi zaidi mwaka 2023. Takwimu hazihusishi…

Read More

HIZI HAPA TIMU ZENYE WASTANI MZURI WA KUFUNGA BONGO

BADO haijafahamika nani atasepa na taji la ligi kutokana na mwanzo kuwa mgumu, ushindani ukipamba moto kila idara kuanzia ile ya ushambuliaji mpaka ulinzi. Ikiwa ni mwanzo wa ligi kuna timu ambazo zina kasi kwenye utupiaji wa mabao zikiwa na wastani unaovutia kila zinaposhuka uwanjani. Nyingine bado zinajitafuta kufikia ile kasi waipendayo. Hapa tunakuletea timu…

Read More