
SIMULIZI MUAMALA ULIOKOSEWA
SIMULIZI ya kijana aliyefanya makosa wakati wa kutuma shilingi, mkwanja kwa ndugu yake na namna muamala wake ulivyoweza kurejea. Sijawahi kuhisi jinsi nilihisi wakati mtu mmoja kwa jina Mpapale alipokea pesa yangu na kukataa kuirudisha. Nilikuwa na mgonjwa katika Hospitali moja kubwa Afrika Mashariki na ilipangwa kutolewa Ijumaa. Nilikuwa nimepata mshahara wangu na nilidhani ni…