
TAIFA STARS MATUMAINI KAMA YOTE KUFUZU KOMBE LA DUNIA
HESABU kubwa kwa sasa kwa Kim Poulsen ambaye ni Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni kuona namna gani timu hiyo itafanikiwa kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 11, Stars itakuwa na kazi mbele ya DR Congo mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Spoti Xtra limezungumza na Poulsen ambaye anafunguka mipango namna hii:- “Wachezaji wapo…