SIMULIZI YA WEZI WALIORUDISHA NDINGA WENYEWE

SIMULIZI ya wezi waliorejesha ndinga waliyoiba Imepita miaka sita tangu gari langu aina ya Toyota Hilux lilipopotea nilijaribu juu chini kulitafuta lakini wapi halikupatikana,nakumbuka vizuri jinsi kisa hicho kilipotokea. Nilikuwa nafanya kazi na kampuni moja maarufu sana nchini nikiwa kama mfanyakazi wa kawaida hadi nilipopandishwa madaraka hadi nikawa meneja. Maisha yangu yakachukua mkondo mwingine nikaanza…

Read More

SIMULIZI YA MZAZI ALIYEKUWA NA MAWAZO KISA UWEZO WA WATOTO

SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa na mawazo kisa uwezo wa watoto kuporomokaghafla Ni furaha ya kila mzazi kuona watoto wakifaulu maishani na kuweza kunawiri na kujiendeleza maishani mwake bila mtafaruku wowote, yote hayo yalionekana kutoweza kutimia kwa watoto  ambao walikuwa ni Juma na Halima wenye miaka 10, na 13 Walikuwa wachangamfu na kunipa matumaini ya kuweza…

Read More

MWENDO ALIOANZA NAO PABLO BONGO HUU HAPA

PABLO Franco Kocha Mkuu wa Simba ameanza kwa kushuhudia timu yake ikisepa na ushindi mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ukiwa ni mchezo wake wa kwanza baada ya kuchukua mikoba ya Didier Gomes alishuhudia  ubao ukisoma Ruvu Shooting 1-3 Simba ambapo mbinu yake ya kuwatumia washambuliaji wawili Kibu Dennis na…

Read More

NAMUNGO V YANGA, YUPI ATAVUNJA NGOME LEO?

  ILE ngome ambayo ilikuwa ngumu kuvunjika muda wote sasa wakati wake umefika tena kuanza kuvunjwa upya ambapo leo Uwanja wa Ilulu, wanaume watakuwa kazini. Baada ya kushindwa kufanikiwa kwa muda wa misimu miwili walipokutana wanakutana kwa mara nyingine tena kuendelea pale walipoishia ili kuweza kuona baada ya dakika 90 kitatokea kitu gani. Utakuwa ni…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEPUNGUZA UZITO

SIMULIZI ya mwanamke aliyeweza kupunguza tatizo la uzito pamoja na unene Watu wengi ama kwa hakika haswa wanawake hupenda miili ambayo sio minene kupita matarajio yao. Wengi hupenda mwili wa kuvutia haswa  kila mara. Kwa jina ninaitwa Rebecca. Nilikuwa nashida ya kunenepa na kila mara watu wengi walinipa majina ya ajabu kutokana  na mwili wangu…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEKUWA NA TATIZO LA KIAFYA

SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa na tatizo la afya baadaye akarejea kwenye ubora Ama kwa hakika kila mtu hufurahia kuona wapendwa wao wakiishi kwa amani na wenye afya kila siku. Hali ilikuwa tofauti kwetu kwani mama mzazi alikuwa katika hali mbaya ya kifafa ambayo kila mara ilitukosesha usingizi kama wanawe. Kwa jina ni Kamau kutoka Nyamira….

Read More

AIR MANULA NA DAKIKA ZAKE BONGO

  KWA upande wa makipa ambao kazi yao namba moja ni kuzuia mipira kupita kwenye lango lake ni Aishi Manula yeye ni kinara kwa makipa ambao hawajaruhusu kufungwa ndani ya dakika 450. Akiwa amecheza mechi tano zte za Simba msimu huu wa 2021/22 Manula amekuwa mhimili kwenye upande wa ulinzi na kulifanya lango kuwa salama…

Read More

DEMBELE AKATWA MKWANJA HUKO KISA DAKIKA TATU

OUSMANE Dembele, nyota wa kikosi cha Barcelona amekuwa wa kwanza kukutana na balaa la kocha mpya, Xavi Hernandez kisa kuchelewa kwenye mazoezi kwa muda wa dakika tatu pekee. Kwa kosa hilo ambalo amefanya amekutana na ishu ya kukatwa mkwanja mrefu kwenye mshahara wake hivyo asitarajie kupewa mshahara wake kamili kwa mwezi huu kwa kuwa amesharikoroga…

Read More

MECHI ZA SIMBA V YANGA, KADI NYEKUNDU NJENJE

VIGOGO wa Ligi Kuu Bara, Simba ambao ni mabingwa watetezi pamoja na Yanga ambao ni mabingwa wa kihistoria wakiwa na mataji 27 ya ligi wakiwa kwenye mechi zao kwa msimu wa 2021/22 kadi imekuwa ni jambo la kawaida. Hii inatokana na ugumu wa mechi hizo pamoja na wachezaji kutumia nguvu kubwa katika kusaka ushindi jambo…

Read More

MAKIPA WALIOPATA TABU MBELE YA FEI TOTO

KWENYE ardhi ya Tanzania mbali na uzuri wa mlima Kilimanjaro pamoja na wakazi wake wenye sifa ya upole na ukarimu kuna kijana anakiwasha kwenye ulimwengu wa soka kwa kufanya kazi ya mpira ionekane kuwa nyepesi. Jina lake anaitwa Feisal Salum wengi wanapenda kumuita Fei Toto ni kijana anayewapa tabu kwa sasa makipa wa Bongo kwa…

Read More

SIMULIZI YA MUME ALIYEKUWA NA TABIA ZA KERO

SIMULIZI ya mume ambaye alikuwa na tabia zilizomkera mkewe Ndoa yangu na mume wangu ilikua yenye kutamaniwa na wengi. Tuliishi mjini katika makao ya wafanyakazi wa Serikali ambapo mume wangu alikua mhasibu katika Serikali ya kauti ya Mombasa. Nilifanya kazi ya ususi mjini Mombasa ambapo nilikuwa na duka la kuuza bidhaa mbalimbali za kutia nakshi…

Read More

MAKIPA BONGO NA MIGUSO YAO YA MAANA

MAKIPA wengi kazi yao ni kuzuia michomo kuingia ndani ya lango ila wamekuwa pia na mchango kwenye miguso ya mwisho inayosababisha kupatikana kwa ushindi kwa timu zao. Leo tunaangazia rekodi za makipa ndani ya Bongo ambapo pasi zao zilikuwa chachu ya ushindi kwenye mechi ambazo walicheza katika mashindano tofauti:- Nurdin Barola Msimu wa 2020/21, Septemba 6,2020…

Read More

NAFASI YA STARS KUFUZU KOMBE LA DUNIA NI 50/50

NAFASI ya Tanzania kuhusu kufuzu Kombe la Dunia kweda Hatua ya Play off naiona ni 50/ 50 yaani lolote linaweza kutokea kwenye mpira maana hawako katika nafasi nzuri sana wala mbaya kwenye msimamo wa kundi J.  Ikumbukwe kwamba kwa sasa Tanzania ni kinara wa kundi hilo akijikusanyia pointi 7 kwenye mechi 4 ambazo amekwishacheza mpaka…

Read More

SIMULIZI YA JAMAA ALIYEPOTEZA NG’OMBE WAWILI

SIMULIZI ya aliyeibiwa Ng’ombe wawili kisha akawapata ipo namna hii:- Ama kwa hakika kila mtu anapaswa kuheshimu mali ya mwenzake kwa vyovyote vile kwani ndio undugu unaohitajika. Kwa jina ni Simon kutoka kaunti ya Vihiga. Nilikuwa mfanyibishara haswa wa kilimo. Nilikuwa na Ng’ombe wawili wa maziwa ambao nilikuwa Napata faida nyingi kutokana na uuzaji wa…

Read More