HERI YA SIKU YA WANAWAKE WOTE DUNIANI

LEO ni Jumanne, Machi 8,2022 ni siku ya Wanawake Duniani, tunaungana na wale wote ambao wanaosherehekea siku hiyo. Hapa tunaangalia baadhi ya Wanawake ambao wapo kwenye ulimwengu wa soka wakiwa ni viongozi. Zamani ilikuwa ni nadra sana kuona mambo haya yakitokea ila kwa sasa imekuwa ni ajira na wengi wanafanya kazi ile kwa sana:- Barbara…

Read More

MIPANGO INAHITAJIKA KIMATAIFA KUPATA MATOKEO

KUSHINDWA kupata matokeo kwenye mechi moja ugenini haina maana kwamba kazi imekwishwa na hakuna uwezo wa kupata ushindi kwa mechi zijazo hapana. Ipo wazi kwamba ilikuwa kazi kubwa kusaka pointi ugenini mwisho wa siku wawakilishi wetu kwenye mashindano ya kimataifa wakapata pointi moja kati ya sita ambazo walikuwa wanazisaka. Makosa yapo na nina amini kwamba…

Read More

MSAKO WA POINTI TATU KWA MKAPA ULIKUWA HIVI

KAMA utakuwa unaitafuta Yanga ilipo kwa sasa kwenye msimamo ni namba moja na pointi zake kibindoni ni 42 baada ya juzi kushinda kwa mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa. Ilikuwa ni msako wa pointi tatu kwa timu zote mwisho Yanga wakasepa na pointi tatu mazima na ilikuwa namna hii  :- Makipa kazini…

Read More

MUDA WA KUJIBU MASWALI YA MZUNGUKO WA KWANZA KWA VITENDO

NI kitu gani ambacho wachezaji mlishindwa kukifanya kwenye mzunguko wa kwanza katika kusaka ushindi kwenye mechi ambazo mlikuwa mnacheza? Ni jambo gani ambalo benchi la ufundi mlikwama kulifanya kwenye mechi ambazo mlikuwa mnaziongoza na mwisho mkapata matokeo ambayo hayakuwa kwenye mpango wenu. Ilikuaje mashabiki mkwakwama kushangilia kwenye mechi ambazo mliweza kufika uwanjani mwanzo mwisho na…

Read More

MZUNGUKO WA PILI HUU HAPA MLANGONI MUHIMU KUJIPANGA

MZUNGUKO wa pili tayari upo mlangoni kwa timu ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara kuweza kujua nani atakuwa ni nani. Hesabu za mwisho hukamilishwa katika mzunguko wa pili hivyo jambo la msingi ni timu zote kuweza kujipanga na kupata ushindi kwenye mechi ambazo watacheza. Hakuna namna nyingine inayotakiwa kufanyika zaidi ya kila timu kuweza kufanya maandalizi…

Read More

UJANJA WA NONGA NI UWANJA WA SOKOINE

MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Mbeya City, Paul Nonga, ujanja wake wa kucheka na nyavu ni kwenye Uwanja wa Sokoine. Msimu wa 2021/22 ametupia mabao matatu ndani ya ligi kati ya 17 ambayo yamefungwa na timu hiyo baada ya kucheza mechi 15. Ameanza kikosi cha kwanza mechi 12 kati ya 15 na alitibua rekodi ya Simba…

Read More

MZUNGUKO WA PILI UPO KARIBU,KAZI IENDELEE

NJIA ambayo inatumika katika kusaka ushindi kwa kila timu ni maandalizi mazuri na wachezaji kupambana bila kuchoka ndani ya uwanja. Imekuwa hivyo kwa timu ambazo tayari zimekamilisha hesabu za mzunguko wa kwanza na nyingine bado mechi moja mkononi kufanya hivyo. Hakuna namna nyingine inayotakiwa kufanyika zaidi ya kila timu kuweza kufanya maandalizi mazuri kwa kuwa…

Read More

HIZI HAPA HESABU ZA SIMBA KIMATAIFA

UKURASA unaendelea kufunguliwa hasa katika anga za kimataifa ilikuwa ni baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya ASEC Mimosas leo kwa mara nyingine tena kuna jambo litatokea baada ya dakika 90. Leo ni leo, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa, Simba wanatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya USGN ya Niger na tayari kikosi…

Read More

MWENDO UMEUMALIZA SONSO,PUMZIKA KWA AMANI

KAZI ya Mungu haina makosa na tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo ambalo linatokea kwenye maisha yetu ya kila siku kwa kuwa yeye ni muweza wa kila kinachotokea. Hakuna ambaye anaijua kesho hivyo kwa muda ambao upo kwa wakati huu kila mmoja anajukumu la kutimiza yale yanayofaa bila kuchoka. Wanafamilia,ndugu na jamaa katika kipindi hiki kigumu…

Read More

SIMBA FANYENI KWELI LEO KIMATAIFA

SIMBA SC, leo Jumapili inatarajiwa kuvaana na ASEC Mimosas katika mchezo wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar es Saalam. Huu utakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Simba katika hatua hii ikiwa ni timu pekee ya Tanzania katika michuano hiyo. Simba imekuwa na historia nzuri katika michuano hiyo ya kimataifa kwa siku za karibuni, tunaamini kuwa wataendakufanya kweli kuanzia mchezo wa leo…

Read More

KASINO YA MERIDIANBET INAKUPATIA FURSA YA KUTENGENEZA PESA KUPITIA JAKIPOTI YA KISASA!

Kwa muda mrefu, Kasino ya Meridianbet imekuwa ni sehemu moja yenye neno moja la kipekee – Jakipoti za Kasino! Hii hainakikomo, wameendelea kufanya hivyo hadi mwaka 2022. Sikia hii, mteja mmoja wa Kasino ya Meridianbet amejishindia €15,616 baada ya kushinda jakipoti kwenye Sloti ya Secrets of Alchemy. Mwanzo mzuri kwa mwezi Februari! Hii ni maana…

Read More

SASA NGUVU ZIMEHAMIA U 17

BAADA ya timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania chini ya miaka 20, Tanzanite Queens kupoteza kwenye mchezo wa kuwania kufuzu tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Ethiopia hesabu zimehamia kwenye maandalizi ya U 17. Akizungumza na Spoti Xtra, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tazania, (TFF)Wilfred Kidao alisema…

Read More

BOXER BADO UNA MUDA WAKURUDI TENA KATIKA UBORA

Zama za Mwinyi Zahera alikuwa katika ubora na aliaminika kikosi cha kwanza jumlajumla ni Paul Godfrey wengi wanapenda kumuita Boxer.. Aliweza kumuweka benchi Juma Abdul mzee wa kumwaga maji ambaye pia alikuwa ni nahodha msaidizi katika kikosi cha Yanga. Majeruhi yaliweza kuirudisha nyuma kasi yake kisha hata aliporudi hajaweza kurudi kwenye ule ubora. Alipata nafasi…

Read More

KILICHOPANDWA KIMEVUNWA KOMBE LA SHIRIKISHO

MATUKIO ambayo yamekuwa yakitokea kwenye mechi uwanjani yapo yanayokera na yanayofurahisha lakini muhimu kila mmoja kuwa makini katika kutekeleza majukumu yake. Tumeona kwamba kuna wachezaji ambao wamekuwa wakitumia nguvu kubwa nah ii inatokana na hasira lakini kwa namna yoyote ile ni lazima kila mchezaji kuwa mlinzi wa mchezaji mwenzake. Kwa timu ambayo itakosa kupata matokeo…

Read More

UBABE KWENYE KOMBE LA SHIRIKISHO UWEKWE KANDO

MATUKIO ambayo yamekuwa yakitokea kwenye mechi uwanjani yapo yanayokera na yanayofurahisha lakini muhimu kila mmoja kuwa makini katika kutekeleza majukumu yake. Tumeona kwamba kuna wachezaji ambao wamekuwa wakitumia nguvu kubwa na hii inatokana na hasira lakini kwa namna yoyote ile ni lazima kila mchezaji kuwa mlinzi wa mchezaji mwenzake. Kwa timu ambayo itakosa kupata matokeo…

Read More