
TUCHEZE MPIRA KWA AFYA,ULINZI NI MUHIMU
IMEKUWA rahisi kwa sasa matukio yote ambayo yanatokea uwanjani kuweza kuonekana baada na kabla ya mchezo hii inatokana na kukua kwa teknolojia. Weka mbali suala ka kukua kwa teknolojia bado Azam TV wanaonesha kila mechi kuweza kuonyeshwa na mashabiki wakaweza kufurahia burudani. Mzunguko wa pili umekuwa na matukio mengi ambayo yanatokea yapo mazuri hasa kwa…