YANGA V NAMUNGO,KAZI IPO LEO KWA MKAPA
KUMEKUCHA sasa leo ni Yanga v Namungo, Uwanja wa Mkapa ngoma inatarajiwa kupigwa ikiwa ni Aprili 23,2022. Kazi kubwa ni kwa vinara Yanga wenye pointi 51 watakapokuwa wakimenyana na Namungo FC iliyo na pointi 29 ndani ya ligi. Ugumu wao huwa unakuwa namna hii:- Wakali wa nyavu Kwa Yanga wao wanaye mzee wa kutetema, Fiston…