
SEKTA YA SKAUTI INAHITAJI MABORESHO BONGO
KWENYE upande wa usajili kumekuwa na sarakasi nyingi kwa timu za Bongo iwe kuanzia Ligi ya Wanawake, Championship mpaka Ligi Kuu Bara. Sio Simba, Yanga mpaka Geita Gold kumekuwa na sarakasi nyingi ambazo zinachezwa. Mpaka Namungo pia nao Singida Fountain Gate wanatambua namna ambavyo wamekuwa wakipambana kwenye upande wa masuala ya usajili hivyo ni muhimu…