
JEMBE HILI LA KAZI NYIA NYEUPE KUTUA SIMBA
IMEFAHAMIKA kuwa, uongozi wa Yanga umeachana na mipango ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa Zanaco, Mzambia, Moses Phiri na kumuachia kwenda Simba. Awali Yanga ilikuwa katika mipango ya kumsajili kiungo huyo katika kukiimarisha kikosi chao kwa ajili ya michuano ya kimataifa watakayoshiriki msimu ujao. Yanga imeanza kukiboresha kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao kwa kuwaongezea…