
HII HAPA RATIBA YA LIGI LEO NA MATOKEO
LEO Agosti 17,2022 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo timu sita zitakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Coastal Union v KMC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid,Arusha. Simba v Geita Gold, Uwanja wa Mkapa. Azam FC v Kagera Sugar,Uwanja wa Azam Complex. Jana Agosti 16 zilichezwa mechi kwenye viwanja tofauti na matokeo yalikuwa namna hii:-…