Home Sports SAUTI:MZUNGU WA SIMBA ANA KAZI NZITO YA KUFANYA Sports SAUTI:MZUNGU WA SIMBA ANA KAZI NZITO YA KUFANYA August 16, 2022 FacebookTwitterPinterestWhatsApp NYOTA mpya wa Simba, Dejan ana kazi nzito ya kuweza kufanya kwa msimu wa 2022/23 hasa kwenye nafasi ya ushambuliaji ambayo yupo huku akishindwa kuonyesha makeke kwenye mechi mbili ambazo amepata nafasi ya kucheza