


MADRID NA KISHINDO FAINALI KOMBE LA DUNIA
HALI ya hewa hapa ni baridi kali lakini haizuii joto la mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la Klabu kuwa juu. Licha ya kwamba hakuna timu ya Morocco baada ya Wydad ambao ni mabingwa wa Afrika kutolewa mapema, bado hamu kubwa ya mashabiki ni kuiona Real Madrid. Madrid watacheza fainali hiyo leo Jumamosi kwenye…

MBRAZIL SIMBA AGOMEA KUPAKI BASI, YANGA YAVAMIA UWANJA
MBRAZIL Simba SC:Hatupaki basi, Yanga yavamia uwanja wa Waarabu usiku ndani ya Championi Jumamosi

SIMBA TAYARI KUIKABILI HOROYA KIMATAIFA
JUMA Mgunda,kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa maandalizi yote kuhusu mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya ya Guinea yamekamilika. Leo wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wanakibarua cha kusaka pointi tatu ugenini mchezo wa hatua ya makundi ambao ni wa kwanza kila timu. Mgunda ameweka wazi kuwa wanatambua ushindani…

KIMATAIFA INAWEZEKANA KAZI KUBWA IFANYIKE
HAKIKA kwa sasa mambo yamezidi kupamba moto kwenye anga za kimataifa ambapo leo Simba wana kazi yakufanya kwenye anga za kimataifa Simba ambao ni wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kazi yao ni kwenye mchezo wa makundi ikiwa ni dhidi ya HoroyaAC hautakuwa mchezo mwepesi wala mgumu muhimu maandalizi mazuri. Kwa wachezaji kazi…

MECHI ZOTE KALI ZA WIKIENDI HII EPL, SERIE A, LA LIGA, BUNDASLIGA NA LIGUE 1
Suala la kutoa ODDS kubwa sio kitu cha mawazo pale Meridianbet, kuthibitisha hilo tengeneza mkeka wako wa mechi zote kali za wikiendi hii ujizolee ODDS kibao za ushindi, ni EPL, Serie A, La Liga, Bundasliga na Ligue 1 huku fainali ya Kombe la dunia la vilabu ikipigwa ni Madrid vs Al Hilal. Meridianbet wanatoa ODDS…

AZAM FC YAANZA MATIZI KUMVUTIA KASI MNYAMA
KIKOSI cha Azam FC kimeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo imetoka kupoteza mchezo wake uliopita kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma ukisoma Dodoma Jiji 2-1 Azam FC. Februari 21,2023 saa 1:00 usiku Azam FC itakuwa kwenye kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Simba. Katika mchezo…

KIMATAIFA NI MUDA WAKUONYESHA KAZI KWA VITENDO
KILE kipengele cha kutamba kuwa ni mkubwa kwa watani za jadi sasa kinapaswa kuonyeshwa kwa vitendo kutokana na mashindani ya kimataifa ambayo yapo mbele yao. Simba wao wapo ndani ya Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi na wanatarajiwa kumenyana na Horoya Februari 11 ugenini na Yanga wao Februari 12 wana kete yao kwenye Kombe la…

MERIDIANBET YAGAWA NGUO KWA BODABODA JIJINI DAR ES SALAAM
Bodaboda ni moja ya usafiri unaotumiwa sana na wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam, Mkoa wenye idadi kubwa ya watu kulinganisha na mikoa mingine Tanzania kwa mujibu wa sensa ya 2022 ikiwa na watu 5,383,728 ambayo ni sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini. Usalama wa watu hawa na Madereva ni kitu muhimu…

MESSI NA CR 7 BALAA LAO BAADA YA MIAKA 30
WOTE wawili Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wamefanya mambo ya kihistoria kwenye soka kiasi kwamba wanaonekana ni wachezaji bora wa miaka yote duniani. Alipoingia katika muongo wake wa nne Juni 2017, Messi alikuwa moto na kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Barcelona na ametumia miaka yake 30 kudhihirisha kuwa yeye ndiye mwanasoka bora zaidi wa wakati…

MORRISON AANZA KUPIGA TIZI KWA SIRI
HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga, kuwa kiungo wao mshambuliaji Mghana, Bernard Morrison ameanza mazoezi ya binafsi ya siri kimyakimya. Mghana huyo yupo nje ya uwanja kwa miezi miwili akiuguza maumivu ya nyonga ambayo aliyapata mara baada ya kurejea nchini akitokea kwao Ghana alipokwenda kwa ajili ya matatizo binafsi. Staa huyo ameachwa katika msafara wa…

BALEKE AANDALIWA KUWAMALIZA HOROYA
KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kuwa mshambuliaji wake mpya Mkongomani, Jean Baleke yupo katika orodha ya wachezaji atakaowatumia katika mchezo wa kesho dhidi ya Horoya AC ya nchini Guinea. Simba jana alfajili walisafiri kuelekea Guinea kucheza mchezo wao wa kwanza wa hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya AC…

MAPYA KUHUSU ATSU TETEMEKO LA UTURUKI
JANA usiku vyombo mbalimbali ya Habari kutoka Uturuki vilitoa taarifa kuwa nyota wa kimataifa wa Ghana Atsu hakuwa ameokolewa kama ambavyo iliripotiwa awali. Taarifa hizo zilikuja mara baada ya viongozi wa klabu yake ya sasa kuzunguka kwenye hospitali zote wakijaribu kumsaka bila mafanikio. Inadaiwa Christian Atsu bado amekwama kwenye kifusi yeye na meneja wake na…

YANGA WAPOKELEWA KIFALME, WAANZA MAZOEZI
YANGA wapokelewa kifalme, waanza mazoezi kwa ajili ya mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Tunisia

MERIDIANBET YAFANYA UZINDUZI MKUBWA WA DUKA LA KUBETIA KINONDONI
Unapozungumzia starehe ya kubashiri mchezo huwezi kuwaacha Meridianbet wao ndio mabingwa wa hizi kazi, na kuthibitisha hili, wamezindua dula la kubashiri maeneo ya Kinondoni Mwanamboka. Fika sasa kubeti michezo yote imepewa ODDS kubwa na Machaguo Mengi. Kampuni namba moja ya michezo ya kubashiri mtandaoni Meridianbet wamezindua chimbo jipya la kubetia (duka la kubeti) maeneo ya…

NABI:NIMEWAONA WAMEKWISHA
NABI:Nimewaona, wamekwisha, Baleke aandaliwa kuwamaliza Horoya ndani ya Championi Ijumaa.

SIMBA NDANI YA GUINEA
MSAFARA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira umewasili Guinea kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Horoya. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 12 siku ya Jumamosi ikiwa ni mchezo wa kwanza wa kundi C kwa timu hizo. Msako wa pointi tatu kwa wawakilishi wa…