Saleh
MATOLA:WACHEZAJI WANAFURAHIA MAZOEZI,KESHO TENA
SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa wachezaji wamezidi kuyafurahia mazoezi ambayo wanayafanya nchini Misri na wanapiga hatua kila wakati.
Kikosi hicho kwa sasa...
KOCHA MPYA TANZANIA NI MRUNDI
JOSLIN Sharif Bipfubusa raia wa Burundi ametambulishwa rasmi leo Julai 26,2022 kuwa Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania.
Ni mkataba wa mwaka mmoja amepewa kocha huyo...
NBC WATOA FIDIA YA BIMA TABORA
MKUU wa Mkoa wa Tabora, Dk. Batilda Buriani ametoa hundi kwa vyama vya Ushirika (AMCOS) mkoani Tabora ikiwa ni sehemu ya fidia ya hasara...
MANARA:SIHITAJI KUONEWA HURUMA
MSEMAJI wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa hahitaji kupata huruma kutoka kwenye mamlaka kutokana na kuweza kupewa adhabu ya kufungiwa miaka miwili pamoja na...
TAIFA STARS MNA DENI KWA WATANZANIA,INAWEZEKANA
ILIKUWA ngumu kuweza kupata ushindi kwenye mchezo wa kwanza kutokana na mbinu kuonekana kuwa ngumu pia kwa timu zote mbili.
Hakika kwa mwanzo mkiwa nyumbani...
SINGIDA UNITED CHIMBO LAO ARUSHA
HUSSEIN Massanza,Ofisa Habari wa Singida Big Stars ameweka wazi kuwa maandalizi kwa ajili ya msimu ujao wa 2022/23 yanakwenda vizuri.
Timu hiyo ambayo imepanda Ligi...
NEYMAR JR AGOMEA ISHU YA KUONDOKA PSG
NYOTA wa Klabu ya PSG,Neymar Jr amebainisha kuwa anataka kubaki ndani ya timu hiyo japo hakuna ambaye amezungumza naye kujua hatma yake.
Mkataba wake ndani...
MWAMBA HUYU KUCHUKUA MIKOBA YA SAKHO SIMBA
JEAN Morel Poé,anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Klabu ya Simba wakiangalia uwezekano wa kumsajili endapo tu Pape Ousmanne Sakho atauzwa kwenda Wydad...
NABI AANZA NA MAMBO MANNE YANGA,SIMBA YAMPANDIA NDEGE MANZOKI
NABI aanza na mambo 4 Yanga,Kigogo Simba ampandia ndege Manzoki,ndani ya Spoti Xtra Jumanne
TFF YATOA TAMKO KUHUSU HAJI MANARA
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania Kidao Wilfred amesikitishwa na madai ya aliyekuwa Ofisa wa Klabu ya Yanga, Haji Manara kuwa...
MANARA AFUNGUKIA ISHU YA KUFUNGIWA ATUMA OMBI KWA WAZIRI
MSEMAJI wa Yanga Haji Manara ameongea na Waandishi wa Habari kuelezea sakata lake la kufungiwa kujihusisha na masuala ya michezo ndani na nje ya...
GABRIEL ANAWANYOOSHA TU
KIWANGO cha nyota wa Arsenal, Gabriel Jesus kimezidi kuwa moto baada ya wikiend kuweza kutupia mabao mengine.
Ilikuwa ni kwenye mchezo dhidi ya Chelsea ambapo...
IHEFU ITAKUWA NA CHIRWA,NYOSSO NA YONDAN
BAADA ya mabosi wa Ihefu FC kumalizana na Obrey Chirwa inaelezwa kuwa anayefuata ni beki kitasa Kelvin Yondani ambaye ni mali ya Geita Gold.
Ihefu...
ORODHA YA MASTAA SABA YANGA AMBAO BADO HAWAJATINGA AVIC
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa, mastaa 7 wa timu hiyo watajiunga na wenzao kambini mara baada ya kumaliza majukumu ya timu ya taifa...
MECHI YA AZAM V SIMBA HATIHATI MISRI
ABDI Hamid Moallin,Kocha Mkuu wa Klabu ya Azam FC ameweka wazi kuwa kunahatihati ya mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Simba kutochezwa kulingana na...
NI UTATU SIMBA,MORRISON AMNYANG’ANYA JEZI BEKI YANGA
NI utatu Simba,Morrison amnyang'anya jezi beki Yanga ndani ya Championi Jumatatu
YANGA:TUNAANZA NA SIMBA NGAO YA JAMII
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kukusanya mataji yote matatu iliyotwaa kwa msimu wa 2021/22.
Ni Ngao ya Jamii Ligi Kuu Bara...