Saleh
AIR MANULA NI MNYAMA MPAKA 2025
KIPA namba moja ndani ya kikosi cha Simba, Aishi Manula ameongeza kandarasi ya miaka mitatu kuweza kuendelea kusalia ndani ya timu hiyo.
Awali nyota huyo...
SAUTI:SIMBA KUFUNGA USAJILI NA MASTAA HAWA WATATU
IKIWA imeweka kambini nchini Misri kwa ajili ya maanalizi ya msimu wa 2022/23 Simba inatarajiwa kufunga usajili wake na mastaa watatu
VIDEO:AISHI MANULA AWEKA WAZI MIPANGO
AISHI Manula kipa namba moja wa Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars ameweka wazi kuwa kwa namna ambavyo wanajifunza wanazidi kuimarika kuelekea mechi ya...
VIDEO:YANGA YAFUNGUKIA ISHU YA KAMBI
UONGOZI wa Yanga umebainisha sababu ya kambi kuwekwa Dar pamoja na mipango ya Wiki ya Mwananchi
YANGA YAIFUNIKA VIBAYA SIMBA BONGO
YANGA yaifunika vibaya Simba Bongo ndani ya Championi Jumatano
WIKI YA MWANANCHI KUANZA AGOSTI MOSI
WIKI ya Mwananchi itaanza rasmi Agosti Mosi mwaka huu wa 2022 ambapo wanatarajia kucheza mchezo na timu ya kimataifa Uwanja wa Mkapa.
Kwa mujibu wa...
AZAM FC KAMBI YAANZA RASMI
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa leo itakuwa ni siku rasmi ya mastaa wao kuweza kuanza kambi ya ndani kwa maandalizi ya msimu...
VIDEO:OSCAR OSCAR AWACHAMBUA BANGALA/OKRAA
MCHAMBUZI Oscar Oscar amewachambua mastaa wa Simba na Yanga ikiwa ni pamoja na Yannick Bangala,Augustino Okra
SAUTI:YANGA V SIMBA NI NOMA VIKOSI VYAO
KUELEKEA Simba v Yanga itakuwa ni noma kutokana na vikosi kuwa imara kwa timu zote msimu wa 2022/23
VIDEO:CHICO USHINDI,YACOUBA OUT YANGA
MASTAA wawili ndani ya Yanga, Chico Ushindi na Yacouba Songne hawatakuwa kwenye mpango wa kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23 ambapo leo Julai 19,2022...
SIMBA DAY NI AGOSTI 8,2022
AGOSTI 8,2022 inatarajiwa kuwa siku rasmi ya Simba Day ambayo itafanyika Uwanja wa Mkapa.
Siku hiyo ni maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji wa...
VIDEO:TAZAMA MASTAA WA SIMBA PHIRI,INONGA NDANI YA MISRI
MASTAA watano wa Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Zoran Maki wamewasili nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23.
Ni Taddeo...
KAMBI YA YANGA RAMANI INACHORWA HIVI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa wanafanya vikao kuweza kujadili wapi wataweka kambi kwa msimu wa 2022/23.
Awali mpango namba moja wa Yanga...
MNIGERIA WA SIMBA AWAPIGA MKWARA YANGA
KIUNGO mpya wa Simba, Mnigeria, Victor Akpan, ameanza kwa kuwachimba mkwara wapinzani wao Yanga kwa kuwaambia kuwa wasubirie moto wake katika mchezo wa Ngao...
KAMBI POPOTE,TUWAPE WAZAWA MAJINA MAZURI
WAKATI timu kwa sasa zikipambana kusajili wachezaji na kushindana sehemu ya kuweka kambi ulikuwa muda sahihi wa kutambulisha uzi mpya wa msimu wa 2022/23
Kuweka...
MILIONI 116 ZAMPELEKA OUATTARA SIMBA,KOCHA YANGA AVUNJA UKIMYA
MILIONI 116 zampeleka Ouattara Simba,vigogo Yanga wakutana Dar ndani ya Spoti Xtra Jumanne
MALALE HAMSINI YATIMIA BAADA YA MUDA MREFU
RASMI uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara umethibitisha kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa msimu wa...