
ZAMU YA YANGA KUWAPA FURAHA MASHABIKI
KIMATAIFA mwendo ni mbovu kwa timu zote mbili ambazo zimetinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na picha ya mechi za tatu za awali ilivyokuwa. Katika safu ya ushambuliaji inaonekana matatizo ni makubwa kwa timu zote na hata ulinzi pia ni shida hivyo ni muhimu benchi la ufundi kufanyia kazi. Yanga na Simba…