Home Sports AMEKUJA NA MKWARA HUU BOSI SIMBA KISA USAJILI

AMEKUJA NA MKWARA HUU BOSI SIMBA KISA USAJILI

BAADA ya kukamilisha usajili wa nyota wapya ndani ya kikosi cha Simba uongozi umeweka wazi kuwa wachezaji hao watafaya kazi kubwa kukamilisha majukumu yao ndani ya uwanja malengo ikiwa ni kuwapa furaha mashabiki na kutimiza majukumu uwanjani

Previous articleMUDA WA KUFANYA KWELI NI SASA KILA KONA
Next articleAMEOGEZA DOZI KWA MASTAA HUKO MASTA GAMONDI