Saleh

Yanga SC: Tulijua siku moja tutafungwa

MARA baada yakupoteza mchezo wa kwanza ndani ya NBC Premier League, uongozi wa Yanga SC umebainisha kuwa ulijua kuwa siku moja watapoteza mchezo. Mei 13, 2026 ubao wa Uwanja wa Airtel, Singida ulisoma Dodoma Jiji FC 3-2 Yanga SC ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa mabingwa watetezi kupoteza ndani ya ligi msimu wa 2025/26. Timu…

Read More

H2H Mashujaa FC vs Simba SC NBC Premier League

Mashujaa FC vs Simba SC h2h rekodi kwenye mechi 5 ushindi ilikuwa ni kwa mnyama nje ndani tangu 2024-26 hivyo leo unatarajiwa kuwa mchezo wa 6. Licha ya Simba SC kupata matokeo bado ushindi wake kwenye mechi za ugenini kwenye mechi zote mbili umegotea goli moja pekee. Hivyo inamaanisha kwamba Lake Tanganyika sio sehemu nyepesi…

Read More

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC H2H

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC kwenye mechi ambazo wamekutana ushindi umekuwa ni mali ya mabingwa watetezi ndani ya dakika 90. Haya hapa matokeo ya mechi zao ambazo zimepita ndani ya NBC Premier League:- 27/01/2026, Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC 22/06/2025 Yanga SC 5-0 Dodoma Jiji FC 25/12/2024, Dodoma Jiji FC 0-4 Yanga SC…

Read More

Mashujaa FC vs Simba SC tambo zatawala

MASHUJAA FC vs Simba SC NBC Premier Leagu Mei 13, 2026 saa 10:15 jioni tambo zimetawala kwa wenyeji kubainisha wapo tayari kwa mchezo huo. Kwenye msimamo Mashujaa FC ipo nafasi ya 9 ikiwa na pointi 26 inakutana na Simba SC iliyo nafasi ya pili na pointi 49 zote zimecheza mechi 22. Steven Ndorobo, Ofisa Habari…

Read More

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC kinawaka

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC kinawaka kesho Mei 13, 2026 Uwanja wa Airtel Singida ambapo kila timu inapambania pointi tatu muhimu. Yanga SC ni timu pekee ambayo haijapoteza mchezo ndani ya ligi namba nne kwa ubora inakutana na Dodoma Jiji FC ambayo imepoteza jumla ya mechi 7. Mlinda mlango wa Dodoma Jiji FC, Hussen…

Read More