Kiungo wa Serengeti Boys Aibuka Mfungaji Bora Mashindano ya AFCON U17
Kiungo wa Serengeti Boys, Dismas Athanasi, ameibuka mfungaji bora wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U-17) baada ya kufunga jumla ya mabao matatu katika mashindano hayo. Athanasi amefanya vyema na kuisaidia Tanzania kumaliza katika nafasi ya pili, baada ya Serengeti Boys kupoteza fainali kwa mikwaju ya penalti…