>

LIGI YA MABINGWA ULAYA MOTO UTAWAKA LEO

Kivumbi cha ligi ya mabingwa ulaya kitaendelea leo ambapo itapigwa michezo miwili mikali kwenye michuano hiyo itakayokutanisha vilabu ambavyo vimekua na uzoefu wa michuano hiyo. Klabu ya Atletico Madrid wao watakua wenyeji kuwakaribisha Borussia Dortmund kutoka kule nchini Ujerumani, Huku Paris Saint German wao watakua nyumbani kupambana na mabingwa mara tano wa michuano hiyo klabu…

Read More

SIMBA YAWAFUATA IHEFU SINGIDA

BAADA ya kukamilisha kete kwenye CRDB Federation dhidi ya Mashujaa ya Kigoma, Aprili 10 msafara wa kikosi cha Simba umeanza kuelekea Singida. Ipo wazi kwamba Aprili 9 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika ulisoma Mashujaa 1-1 Simba katika raundi ya nne na kupelekea mshindi kupatikana kwe penalti. Mashujaa 6-5 Simba…

Read More

M-BET YAMZAWADIA MSHINDI WA PERFECT 12 MILIONI 140.5

 SHABIKI wa  klabu ya Simba na Arsenal, Yahya Saidi Bakari  ameshinda sh 140,503,890 baada ya kubashiri kwa usahihi matokeo ya ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni M-Bet Tanzania. M-Bet Yazindua Kampeni Mpya Mbali ya kumzawadia mshindi huyo, M-Bet pia imezindua kampeni mpya  ijulikanyo kwa jina la M-Bet Likes You ambayo  itawawezesha washindi…

Read More

SIMBA YASIKITIKIA MATOKEO YAKE

UONGOZI wa Simba umeyasikitikia matokeo yake inayopata ndani ya uwanja katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Ipo wazi kuwa mwendo wa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika umegotea hatua ya robo fainali na kwenye CRDB Federation Cup wamegotea raundi ya nne. Aprili 9 2024 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika ulisoma Mashujaa 1-1 Simba…

Read More

ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KINAWAKA LEO

Usiku wa kusisimua zaidi kwa wapenda soka duniani kote unarejea leo ambapo utaenda kushuhudia michezo mikali ikipigwa katika viwanja viwili tofauti katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. Miamba ya soka kutoka nchini Hispania klabu ya Real Madrid itamenyana na  klabu ya Manchester katika mchezo wa kwanza wa robo fainali, Huku vinara…

Read More

FT: MASHUJAA 1-1 SIMBA, LAKE TANGANYIKA, (6-5)

CRDB Federation Cup. Mashujaa wanaifunagshia virago Simba kwenye CRDB Federation Cup kwa ushindi wa penalti 6-5 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Simba haina bahati mbele ya Mashujaa kwa kuwa iliwahi kutolewa walipokutana kwenye mashindano hayo hivyo kisasi cha ushindi kwenye ligi kimelipwa mazima katika raundi ya nne. Mashujaa 1-1 Simba…

Read More

SIMBA NA HESABU KUBWA KWA MASHUJAA

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba upo tayari kwa mchezo wao wa raundi ya nne dhidi ya Mashujaa ya Kigoma mwisho wa reli kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ni Aprili 8 mapema Simba waliwasili salama Kigoma kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Aprili 9 2024 saa 10:00 jioni na yule…

Read More

MASHUJAA SIO KINYONGE WATUMA UJUMBE SIMBA

WAPINZANI wa Simba kwenye mchezo wa leo Uwanja wa Lake Tanganyika, Mashujaa wamegomea unyonge mbele ya Mnyama kwa kubainisha kwamba wamefanya maandalizi mazuri kuwakabili. Ipo wazi kwamba baada ya kumaliza ngwe ya kimataifa Simba ikigotea hatua ya robo fainali ina kazi kwenye mashindano ya ndani ambayo ni Ligi Kuu Bara pamoja na CRDB Federation Cup….

Read More

KARIAKOO DABI HII HAPA KITAWAKA

ZINAHESABIWA siku kwa sasa kutokana na tarehe kuwa wazi kwa kuwa tayari imeshapangwa na taarifa kwa kila timu zimefika mahali pake kwa mujibu wa taarifa. Ikumbukwe kwamba Yanga na Simba walikuwa na kazi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wamegotea wote hatua ya robo fainali. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza tarehe ya mchezo wa…

Read More