YACOUBA NA YANGA, MAISHA LAZIMA YAENDELEE

ALIKUWA moja ya wachezaji tegemeo ndani ya kikosi cha Yanga kwenye eneo la ushambuliaji ambapo aliunda pacha nzuri na Deus Kaseke. Yacouba amewaaga mabosi wa timu hiyo na kuwashukuru kwa muda ambao alikuwa nao ndani ya kikosi hicho. Alikuwa nje kwa muda wa msimu mzima akipambania hali yake baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa…

Read More

AZAM FC WAELEKEZA NGUVU HUKU

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa sasa unawekeza nguvu zao zote kwenye Ligi Kuu Bara na Kombe la Azam Sports Federation ambalo wanashiriki. Timu hiyo ilienguliwa kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 kwa kugotea hatua ya nusu fainali baada ya ubao wa Uwanja wa Amaan kusoma Azam FC 1-4 Singida Big Stars, Januari 8….

Read More

NIDHAMU IWE NA MWENDELEZO KWENYE LIGI KUU BARA

MWENDELEZO wa ligi unatarajia kurejea kwa kasi kutokana na kila timu kuwa na shauku ya kupata pointi tatu muhimu. Huu ni mzunguko wa pili ambao hauna chaguo la nani atafungwa iwe nyumbani ama ugenini mambo yamebadilika sana siku hizi. Haya yote yanatokana na ushindani uliopo kwani hata zile ambazo zinajiita timu kongwe zimekuwa zikipata ugumu…

Read More

KIUNGO LUIS AKUBALI KUTUA YANGA, OFA YA MAANA MEZANI

TAARIFA zikufikie kuwa, kiungo wa Al Ahly ya nchini Misri, Luis Miqquissone ameikubali ofa nono aliyowekewa na mabosi wa Yanga ili kufanikisha dili lake la kutua mitaa ya Jangwani. Luis ni kati ya wachezaji wanaotajwa kuwaniwa na Yanga katika usajili huu wa dirisha dogo lililofunguliwa tangu Desemba 16,2022. Wachezaji wanaotajwa kuwepo katika mipango ya kusajiliwa…

Read More

JEMBE JIPYA MTIBWA SUGAR LATIMIZA NDOTO

 INGIZO jipya ndani ya Mtibwa Sugar, Vitalis Mayanga ameweka wazi kuwa ilikuwa ni ndoto yake kujiunga na Mtibwa Sugar alipoanza soka la ushindan. Hivyo kujiunga na timu hiyo ametimiza ndoto yake ya muda mrefu. Mayanga alitambulishwa rasmi kuwa ni mali ya Mtibwa Sugar Januari 11,2023. Ni ingizo jipya ambapo alikuwa anakipiga ndani ya Polisi Tanzania…

Read More

MUSONDA NI KIJANI NA NJANO

RASMI uongozi wa Yanga umemtambulisha nyota mpya ndani ya kikosi hicho Kennedy Musonda raia wa Zambia kuwa mali ya timu hiyo. Mshambuliaji huyo anaungana na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwa ajili ya kupambania malengo ya timu hiyo. Anatajwa kupewa dili la miaka miwili kwa ajili ya kutimiza majukumu ya Yanga ambayo…

Read More

SIMBA YAPOTEZA DUBAI

 KIKOSI cha Simba leo Januari 13,2023 kimeambulia kichapo cha bao 1-0. Ni katika mchezo wa kirafiki ambapo wamepoteza dhidi ya Klabu ya Al Dhafra FC baada ya dakika 90. Kikosi cha Kwanza Cha Kocha Mkuu Robert Oliviera langoni alianza Aishi Manula Kwa upande wa ulinzi ni Shomari Kapombe,Joash Onyango, Kennedy Juma. Viungo ilikuwa ni Jonas…

Read More

32 BORA SIMBA, YANGA NA AZAM WAWAJUA WAPINZANI WAO

TAYARI timu ambazo zimetinga hatua ya 32 bora zimewajua wapinzani wao kwenye Kombe la Azam Sports Federation. Simba SC itacheza dhidi ya Coastal Union, Yanga SC itacheza dhidi ya Rhino Rangers, Azam FC itakipiga dhidi ya Dodoma Jiji. Singida Big Stars wao watamenyana na Ruvu Shooting, Kagera Sugar v Ken Gold, Geita Gold v Nzega…

Read More

MNYAMA KUSHUSHA CHUMA KINGINE

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa bado haujamaliza usajili na kabla ya dirisha dogo kufungwa watashusha chuma cha kazi kwa ajili ya kuboresha kikosi hicho. Simba kwa sasa ipo Dubai kwa ajili ya kambi ambayo itatumia siku 7 ikiwa ni mualiko maalumu kutoka kwa Rais wa heshima wa timu hiyo Mohamed Dewji, ‘Mo’.  Ahmed Ally,…

Read More

NYOTA KIBU AMKOSHA KOCHA MPYA SIMBA

ROBERT Oliviera Kocha Mkuu wa Simba amekoshwa na maufundi ya mshambuliaji wa timu hiyo Kibu Dennis. Katika mazoezi yaliyofanyika jana Januari 11, raia huyo wa Brazil alimchangua Kibu kuwa mchezaji bora wa siku hiyo na kumpa zawa. Kibu alikabidhiwa zawadi hiyo mbele ya wachezaji wa Simba wakiongozwa na nahodha John Bocco mwenye mabao 9 ndani…

Read More

YANGA YAIVUTIA KASI IHEFU

BAADA ya kuenguliwa kwenye Kombe la Mapinduzi kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufugana dhidi ya Singida Big Stars kikosi cha Yanga kimeanza maandalizi kuikabili Ihefu. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu Bara unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumatatu ya wiki ijayo. Ihefu ambayo mchezo wa mzunguko wa kwanza iliwatungua Yanga mabao 2-1 itakabiliana…

Read More

SINGIDA BIG STARS WANAIFIKIRIA FAINALI

SINGIDA Big Stars hesabu zao kwa sasa ni fainali ya Kombe la Mapinduzi, Januari 13,2023 dhidi ya Mlandege. Timu hiyo inayonlewa na Kocha Mkuu, Hans Pluijm imetinga hatua hiyo kwa kuichapa mabao 4-1 Azam FC. Mtupiaji wa mabao yote ya Singida Big Stars ni Francy Kazadi ambaye kibindoni anafikisha mabao matano na lile la Azam…

Read More

SIMBA YAINGIA ANGA ZA TP MAZEMBE

KATIKA kuimarisha safu ya ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba Zemanga Soze anatajwa kuwa katika hesabu za timu hiyo. Ngoma nzito inatajwa kuwa kwenye dau ambalo linatakiwa ili kupata saini yake. TP Mazemba anakokipiga Kwa sasa wanatajwa kuhitaji dau refu kumuuza mchezaji huyo. Kikosi cha Simba kwa sasa kipo Dubai ambapo kimeweka kambi wa ajili…

Read More