
HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA PRISONS
HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Tanzania Prisons mchezo wa hatua ya 16 bora Kombe la Azam Sports Federation, Uwanja wa Mkapa ni full mkoko namna hii:- Diarra Djigui Kibwana Shomari Lomalisa Joyce Bakari Mwamnyeto Bacca Mauya Zawadi Jesus Moloko Sure Boy Musonda Aziz KI Kisinda Akiba Metacha Djuma Doumbia Job Bangala Mudathir Clement…