
NYOTA HAWA WA YANGA KUIKOSA AZAM FC KESHO
KUELEKEA katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi kesho Januari 10 kati ya Yanga dhidi ya Azam FC baadhi ya nyota wanatarajiwa kuukosa mchezo huo kutokana na sababu mbalimbali. Yanga ni mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi ambapo waliweza kulitwaa taji hilo kwa ushindi wa penalti mbele ya Simba. Ni Salum Aboubakhari, ‘SureBoy’ ambaye ni kiungo…