Home Sports VIDEO:AZAM FC:YANGA WAMEJILETA,BUMBULI ANYAMAZE

VIDEO:AZAM FC:YANGA WAMEJILETA,BUMBULI ANYAMAZE

OFISA Habari wa Azam FC, Zakaria Zakazi amesema kuwa mchezo uliopita walifungwa mabao 2-0 katika mchezo wa ligi sasa wanakwenda kukutana kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi watapambana kufanya vizuri na yule ambaye atakuwa na mpango mzuri atapata matokeo mazuri na utapigwa mchezo mkubwa.

Previous articleMUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
Next articleNYOTA HAWA WAPYA WAIPA KIBURI YANGA