GERRAD:KLOPP ANASTAHILI KUKAA KWA MUDA LIVERPOOL

STEVEN Gerrard, Kocha Mkuu wa Aston Villa amesema kuwa Jurgen Klopp anastahili kuendelea kukaa ndani ya Liverpool kwa miaka mingi kwani amefanya mambo makubwa. Klopp bado yupo ndani ya Liverpool mpaka 2026 baada ya kuongeza kandarasi ya miaka miwili. Mkataba wake wa awali ulikuwa unatarajiwa kumeguka mwaka 2024 hivyo bado yupoyupo sana ndani ya timu…

Read More

FAINALI KUPIGWA ARUSHA,YANGA NA SIMBA MWANZA

MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho Simba wanatarajia kumenyana na Yanga kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali Mei 28. Yanga walikuwa wa kwanza kuweza kukata tiketi kwa ushindi mbele ya Geita Gold kisha Simba wakafuata kwa ushindi mbele ya Pamba kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili. Mechi zote zilichezwa Uwanja wa Mkapa na…

Read More

AZAM FC WAANZA KUIWINDA SIMBA

ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa wanafanya maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao dhidi ya Simba. Azam FC inakumbuka kwamba kwenye mchezo wao uliopita dhidi ya Simba ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 hivyo itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya wapinzani wao. “Tulitoka Mbeya ambapo mchezo wetu ule…

Read More

SAUTI:MAYELE KUTETEMA,NABI APIGA MKWARA

BAADA ya Yanga kushinda jana mbele ya Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na kufikisha pointi 60, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wataendelea kufanya vizuri. Kwa upande wa mshambuliaji mwenye mabao 12 na pasi tatu za mabao, Fiston Mayele ameweka wazi kwamba muda wa kutetema unakuja.

Read More

INONGA APEWA KAZI NYINGINE

BEKI wa kazi chafu ndani ya kikosi cha Simba, Henock Inonga amebebeshwa zigo jipya la kazi ndani ya kikosi hicho na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu,Pablo Franco. Jukumu hilo jipya kwa sasa ni lile la kuweza kuichezesha timu na kugawa mipira kwa wachezaji wenzake kwenye mechi ambazo anacheza huku akiwa na kazi ya…

Read More

MAYELE:MABEKI WANATAKA NISIFUNGE

FISTON Mayele,mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa mabeki wengi kwa sasa wamekuwa wakimkamia ili asifunge kila anapocheza. Mayele msimu huu wa 2021/22 akiwa ndani ya kikosi cha Yanga amehusika kwenye mabao 15 kati ya 38. Ametupia mabao 12 na kutoa pasi mbili za mabao hajafunga kwenye mechi nne za ligi msimu huu na kumfanya awe sawa…

Read More

LIGI KUU BARA RATIBA

LIGI Kuu Bara inaendelea leo Mei 16 ikiwa ni mzunguko wa pili wa lala salama kwa timu kuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu uwanjani. Ruvu Shooting yenye pointi 25 inatarajiwa kusaka ushindi mbele ya KMC yenye pointi 27 kibindoni. Tanzania Prisons yenye pointi 23 ina kibarua mbele ya Kagera Sugar yenye pointi 29 kibindoni….

Read More

JOHN BOCCO KWENYE KIBARUA KIGUMU SIMBA

 MSIMU wa 2021/22, nahodha wa Simba John Bocco ametupia mabao mawili kwenye Ligi Kuu Bara ambayo imekuwa na ushindani mkubwa. Bao lake la kwanza alifunga mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa ni baada ya kupitia msoto wa muda mrefu bila kufunga. Bao lake la pili alifunga mbele ya Kagera Sugar,…

Read More

FT:DODOMA JIJI 0-2 YANGA,UWANJA WA JAMHURI,DODOMA

WAKIWA Uwanja wa Jamhuri,Dodoma leo Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 Dodoma Jiji na kufanya waweze kusepa na pointi tatu. Ni mabao ya Dickosn Ambundo dk ya 11 na bao la pili lilifungwa na kipa wa Dodoma Jiji,Mohamed Yusuph dk ya 35 katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Zawad Mauya jamo lililomfanya ajifunge….

Read More

DODOMA JIJI 0-2 YANGA,LIGI

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamekamilisha dk 45 za mwanzo wakiwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji, kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Kasi ilianza ndani ya dakika 10 za mwanzo ambapo presha ilikuwa kubwa na Yanga ikapachika bao la kuongoza dk ya 11 kupitia kwa Dickosn Ambundo. Winga huyo ambaye…

Read More

MASTAA YANGA WAFUNGUKIA KUTOPENDA SARE

BAADA ya msoto wa kuambulia sare kwenye mechi tatu mfululizo,wachezaji wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi wameweka wazi kwamba hawajapenda kupata sare. Yanga ilianza kuambulia sare mbele ya Simba ilikuwa Aprili 30 kisha ngoma ikawa Ruvu Shooting 0-0 Yanga na kigogo cha tatu ilikuwa ni Yanga 0-0 Tanzania Prisons. Aboutwalib Mshery,kipa…

Read More

SAUTI:MAYELE ATANGAZA HALI NYINGINE,APANIA KUFUNGA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba mshambuliaji wao Fiston Mayele kwa sasa hesabu zake ni kuweza kufunga mabao zaidi baada ya kukosa penalti mbele ya Tanzania Prisons. Ilikuwa Mei 9,2022 Uwanja wa Mkapa Mayele aliweza kukosa penalti hiyo kwenye mchezo wa ligi na ni penalti ya kwanza kwa Yanga kukosa. Fredrick Mwakalebela, Makamu Mwenyekiti wa…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA

MOTO wa Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa timu kusaka ushindi ndani ya uwanja ikiwa ni mzunguko wa pili. Mbeya City watakuwa na kazi ya kuikabili Polisi Tanzania, Uwanja wa Sokoine. Mtibwa Sugar watakuwa na kibarua mbele ya Coastal Union, Uwanja wa Manungu. Dodoma Jiji itamenyana na Yanga, Uwanja wa Jamhuri

Read More