
PABLO:TUTACHEZA KWENYE UWANJA AMBAO TUNAWEZA KUCHEZA
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kesho Januari 26 watacheza kwenye uwanja ambao wanaweza kucheza kutokana na ubora wa uwanja huo. Pablo amekuwa kwenye mwendo mgumu na kikosi cha Simba ndani ya dakika 180 katika viwanja vya ugenini ambapo hajaambulia ushindi zaidi ya sare na safu yake ya ushambuliaji haijafunga bao. Ilikuwa ni…