MKUDE ANA DENI KISA TUZO

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amefunguka kuwa kuchaguliwa kwake kuwa Mchezaji Bora wa Simba kwa mwezi Desemba, kumempa motisha ya kuendelea kupambana na kuendelea kuwa mchezaji muhimu ndani ya timu hiyo. Mkude alisema tuzo hiyo ni kama deni kwa mashabiki ambao wamemchagua hivyo anatakiwa kuendelea kufanya kazi zaidi ili asiwaangushe wale ambao waliona kuwa alifanya…

Read More

MBEYA CITY:TUMEJIANDAA KUPATA POINTI KWA SIMBA

KUELEKEA mchezo wao wa ligi dhidi ya Simba, benchi la ufundi la Mbeya City limetamba kuwa licha ya ubora walionao wapinzani wao lakini watahakikisha wanapata ushindi. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kupigwa Januari 17, mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Meneja wa Mbeya City, Mwegane Yeya, amesema: “Tunaendelea na maandalizi kuelekea kwenye mchezo wetu…

Read More

CHAMA HUYO KWENYE MSAFARA WA KUIVAA MBEYA CITY

KIKOSI cha Simba leo Januari 15 kimewafuata Mbeya City kamili kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine. Januari 17, Simba itakaribishwa na Mbeya City kwenye mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki. Miongoni mwa nyota wa Simba ambao wapo kwenye msafara huo ni pamoja na Clatous Chama…

Read More

MAYELE ATUMA UJUMBE HUU COASTAL UNION

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele, amesema kuwa kwa sasa malengo yao yote ni kuhakikisha wanapata matokeo mazuri katika mchezo wao unaofuata wa ligi kuu dhidi ya Coastal Union. Yanga kesho Jumapili wanatarajiwa kumenyana na Coastal Union wakiwa ugenini katika mchezo utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Yanga wataingia katika mchezo huo wakiwa na kumbukumbu ya…

Read More

SHIBOUB APOTEZEWA NDANI YA SIMBA

BENCHI la ufundi la Simba chini ya kocha mkuu, Pablo Franco, raia wa Hispania, limeachana na mpango wa kumpa mkataba aliyekuwa kiungo wa timu hiyo kutoka nchini Sudan, Sharaf Shiboub, kufuatia kutoridhishwa na kiwango chake alichokionyesha kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi. Shiboub amerejea nchini kwa ajili ya kufanya majaribio kwenye timu hiyo ambayo Alhamisi…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU COASTAL UNION

OFISA Habari wa Yanga, Haji Manara ameweka wazi kuwa mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union waanaamini utakuwa mgumu lakini wanahitaji pointi tatu kwenye mchezo huo wa ligi. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inaongoza ligi ina pointi 29, Januari 16 inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Coastal Union iliyo nafasi ya nne…

Read More

KMC KAMILI KUIVAA TANZANIA PRISONS

TANZANIA One,kipa bora wa muda wote Juma Kaseja kuhusu mchezo wa kesho Januari 16 dhidi ya Tanzania Prisons ameweka wazi kwamba wanahitaji pointi tatu. Kaseja ni nahodha wa KMC kesho anatarajia kuwaongoza wachezaji wenzake katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Nelson Mandela. Kwenye msimamo KMC ipo nafasi ya 13 na pointi 11…

Read More