>

SAIDO AFUATWA NA WAARABU BURUNDI

TAARIFA zinasema kwamba, Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ amefuatwa nyumbani kwao Burundi na viongozi wa timu moja kutoka Uarabuni kwa ajili ya mazungumzo ili kumsajili. Saido ambaye hivi karibuni aliondoka Tanzania kwenda Burundi kwa ajili ya mapumziko mafupi, wakati akiwa huko ndipo Waarabu hao walipomuibukia kwa nia ya kumshawishi wamsajili. Nyota huyo aliyetua Yanga dirisha dogo la msimu uliopita, mkataba wake unatarajiwa kumalizikamwisho wa msimu huu. Mtu wa…

Read More

NYOTA HAWA WA YANGA KUIKOSA AZAM FC KESHO

KUELEKEA katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi kesho Januari 10 kati ya Yanga dhidi ya Azam FC baadhi ya nyota wanatarajiwa kuukosa mchezo huo kutokana na sababu mbalimbali. Yanga ni mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi ambapo waliweza kulitwaa taji hilo kwa ushindi wa penalti mbele ya Simba. Ni Salum Aboubakhari, ‘SureBoy’ ambaye ni kiungo…

Read More

PABLO:TUMEAMUA KUWAPA FURAHA MASHABIKI WETU

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachagua kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo hivyo kesho watafanya vizuri kusaka ushindi. Januari 10 Simba itakuwa na kibarua kwenye Kombe la Mapinduzi ambapo inatarajia kumenyana na Namungo FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali. Mchezo wake uliopita ilitoshana nguvu na Mlandege na dakika 90 zilikamilika…

Read More

MILIONI 50 ZATUMIKA KWA YANGA KUSEPA NA MSHAMBULIAJI

IMEFAHAMIKA kuwa uongozi wa Yanga umetumia Sh 50 Mil kufanikisha usajili wa mshambuliaji wa Mbeya Kwanza, Chrispin Ngushi aliyekuwa akiwindwa pia na Simba na kumpa mkataba wa miaka mitatu. Usajili wa Ngushi mwenye mabao matatu akicheza michezo 11 ya Ligi Kuu Bara msimu huu, ni wa nne kwa Yanga kusajiliwa kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo uliofunguliwa Desemba 16, 2021. Wachezaji wengine waliosajiliwa na Yanga na kutambulishwa ni Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ kutoka Azam…

Read More

VIDEO:POPAT AZUNGUMZIA MCHEZO WAO DHIDI YA YANGA

ABDULKARIM Amin,’Popat’ Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Azam FC amesema kuwa wanatambua kwamba mchezo wao wa kesho dhidi ya Yanga utakuwa na ushindani mkubwa lakini wamejipanga kusaka ushindi. Kesho Januari 10 Yanga inatarajiwa kucheza na Azam FC kwenye mchezo wa nusu fainali Kombe la Mapinduzi. Yanga ni mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi na mchezo…

Read More

VAR KUTUMIKA AFCON, MAMBO YANAANZA LEO

HATIMAYE kwa mara ya kwanza katika historia ya michuano ya AFCON, mechi zote 52 zitatumia marefa wasaidizi wa picha za video (Video Assistant Referees – VAR) huko Cameroon. Michuano hiyo itaanza rasmi leo Jumapili Januari 9, 2022 ambapo wenyeji Cameroon watacheza na Burkinafaso katika uwanja wa Olembe huko Yaounde. Mechi ya mwisho itachezwa Februari 6…

Read More

RALF AKIRI NYOTA MAN U WANATAKA KUSEPA

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United kwa muda amekiri kwamba mastaa kadhaa wa timu hiyo wanataka kuondoka mara tu baada ya mikataba yao kuisha. Hivi karibuni ilielezwa kuwa mastaa 17 wa kikosi cha Manchester United inayoshiriki Ligi Kuu England wanataka kuondoka kutokana na kuona mambo hayaendi ndani ya timu hiyo. Kocha huyo hajaweka wazi…

Read More

NYOTA HAWA WAPYA WAIPA KIBURI YANGA

NYOTA wapya wa timu ya Yanga ambao wametua ndani ya dirisha dogo, wameipa jeuri timu hiyo kiasi cha kutamka kuwa wana uhakika wa kutetea ubingwa wao wa Kombe la Mapinduzi. Mabosi hao wameongeza kuwa wana uhakika huo kwa mastaa hao wapya ndani ya kikosi hicho, wakiamini wana uwezo mkubwa. Miongoni mwa mastaa wapya ambao wamesajiliwa na Yanga ni Dennis Nkane aliyetoka Biashara United, Aboutwalib Mshery, Salim Aboubakhari ‘Sure Boy’ na Crispin Ngushi. Yanga ni mabingwa watetezi na mchezo wa kwanza mbele ya…

Read More